Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,518
- 235,233
JiaminiWengine tunashitujikia balaa ndo maana tunawahi kuzifuta .
Kwanini mjistukie sasa??
JiaminiWengine tunashitujikia balaa ndo maana tunawahi kuzifuta .
Mtumishi hamna kazi hapo tusidanganyane ukiishiwa vocha leta bill Pm fullstopSasa tupia vocha hapa mambo yaende haraka
Kilicho nichanganya tatoo zake.. zipo kwa mpangilio sana.. mgongoni imetuli shingoni usiseme.. sijui alicholea wapi hizi 😊😊😊😊😎😎😎😎.. nahisi wakivuta mjani wanakuwa super zaidiKapambane na mjamaica mvuta Jani!
Sasa anza kuishi kiboss na wewe.Usifanye hivo mama boss ongeza boss unapata boss square [emoji3]
Naunga mkono hojaTena tabia mbaya mno,tuikemee[emoji16]
We nenda tuu, usipochafuka utajifunzaje.Nashukuru kwa kunitahadharisha [emoji3][emoji3][emoji3] maana nilishapaweka kwenye to do list [emoji3][emoji3] hata pale lockdown aisee mawakala wa shetani Ni wengi sana
Shida inaanza Mimi sio boss hapo Sasa kwettu isyesye [emoji3]Sasa anza kuishi kiboss na wewe.
Nakubrand wakati hujiweki kiboss..tupia mambo [emoji23][emoji23]uboss utalubrand automaticale
Ni kisu na kipandeKisu? Kumlinganisha na kisu Bosi Ledi ni kumdhalilisha. Itabidi tutafute sitiari nyingine ambayo haijapata kutumika katika lugha yo yote duniani [emoji91][emoji91][emoji91]
Siku ule ulitupiga chenga ya mwili Bosi Ledi. Video umei-trim tunaona. Video imeload tunaiona hivi mpaka imefikia 100%. Halafu ukala kona dah!Hapana sina video nayocheza mbona!
Sasa wewe haujiweki kiboss tatizoHanitaki sisi wanyonge bwana zetu figiri na milenda
[emoji1787]Naona ulikimbia damu zisikurukie hukutaka ushaihidi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kaambie badae twende mtoko.. leo mbona kama nakuwa mshari mshari sijui kuna nini tu
Mashallah mwanamke stara, ungeweka yoote juu mpaka chini na wengine wajifunze
Hahahaa sawa nitaenda wkend kuprove yaliyomoWe nenda tuu, usipochafuka utajifunzaje.
Nadhani huu ndio msimamo wa 9.8ms squared utajuaje kama unaumudu majaribu kama hautajaribiwa
Shukrani,niko peke yangu labla nisubiri mtu anifotoe mojaMashallah mwanamke stara, ungeweka yoote juu mpaka chini na wengine wajifunze
Asante sana mpendwa. Angalau leo nimekuona laivu uwii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]. Nitaendelea kuzeeka vizuri sasa. Ubarikiwe sana mpendwa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Najiamini sana tuJiamini
Kwanini mjistukie sasa??
Najiwekaje Sasa au kutupia vocha hapa za buku buku ndio uboss [emoji3][emoji3][emoji3]Sasa wewe haujiweki kiboss tatizo
Mweee[emoji2296]Hapana sina video nayocheza mbona!
Lockdown, Secreto na kule juu kitanzini panahappen kuanzia alhamisi.Hahahaa sawa nitaenda wkend kuprove yaliyomo
Daaah ningepewa tenda hii. NtakukumbushaShukrani,niko peke yangu labla nisubiri mtu anifotoe moja