Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nilisahau sio isyesye Ni isanga![]()

Kwahiyo unamaanisha nini kwa sisi wa mabatini?
Nilisahau sio isyesye Ni isanga![]()

Wewe katekista wa kisabato unaijuaje ManyaraIringa imekaa kikoloni koloni
Mitaa kama uhindini
Sijui uzunguni
Manyara lodge ipo iringa
Chocho flan amazing![]()
Ya pizza mpendwa ama kuna nyingine uliwekaYangu si unayo mpendwa? Nilipoweka hapa ulilaiki.
Wahuni utawajua tuIringa imekaa kikoloni koloni
Mitaa kama uhindini
Sijui uzunguni
Manyara lodge ipo iringa
Chocho flan amazing![]()

Kwa hiyo na wewe umejifunza tabia yetu ya kufuta?Shukrani,niko peke yangu labla nisubiri mtu anifotoe moja
Wa mabatini nyinyi Sasa Ni special case
Kwahiyo unamaanisha nini kwa sisi wa mabatini?



Mama mchungaji yataka moyo ujue nimejikuta tu nimefutaKwa hiyo na wewe umejifunza tabia yetu ya kufuta?
@NuzulatiMashallah mwanamke stara, ungeweka yoote juu mpaka chini na wengine wajifunze
Wacha weeeeeeAsante mpendwa ni mke tayari na ni mama wa watoto 3 kwa sasa
Kama wewe unavyonikomeshagaKwa hiyo na wewe umejifunza tabia yetu ya kufuta?
Afu nkamu usikute lile li-vi8 nalolionaga ni lako eeh?Shida inaanza Mimi sio boss hapo Sasa kwettu isyesye![]()
Hahaha wewe umezidi aiseeKama wewe unavyonikomeshaga
Ila shukrani Sana.Hahaha wewe umezidi aisee
Nakuelewa kwa kweliMama mchungaji yataka moyo ujue nimejikuta tu nimefuta
Afu nkamu usikute lile li-vi8 nalolionaga ni lako eeh?

sio langu nkamu Mimi ukiiona vitz ndio yangu Sasa na wew unapajua isyesye 
Kama kawaida yako😀
Sijui kununa
Sikuzaliwa hivyo
Hili pepo la kufuta picha bila kujijua inabidi likemewe kwa jina la yesuu kwa kweli@Nuzulati
Umetoka kuwasema wenzio
Sasa umefanya nini
Ebu irudie rafiki
Napajuaje Isyesye? Ngoja siku ntakuvizia nikuphotoe😔😔sio langu nkamu Mimi ukiiona vitz new model ndio yangu Sasa na wew unapajua isyesye
![]()