Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Unapenda pizza mpendwa?Pizza![]()
Msukuma ukishikilia jambo😬😬Niko nasubiria mpendwa![]()
Hahaaaaaa. Kipi Cha kuvutia Dom, vinuka jasho vya UDOM/Mipango?Ushakwepa dah!
Kuna siku nitakukamata tu![]()
Aaah ndio nayapata hayo maeneo sema sijawahi Zama hapo upo unapiga machozi ya SimbaUkitoka Shooters unavuka barabara ya uhindini unapandisha juu kidogo kama inaelekea Agha Khan. Hapa kwenye msikiti wa wahindi


Hapana hicho ni chakula cha dharula kwanguUnapenda pizza mpendwa?
Yaani unanipiga tena kalenda jamani tangu juziTuache mboyoyo mingi Nitakutumia usijali


Eti vinuka jasho. Vibaya hivyo mulangira!Hahaaaaaa. Kipi Cha kuvutia Dom, vinuka jasho vya UDOM/Mipango?
Shetani ana mawakala kila Kona Kama vibanda vya mpesaitakuwa shetani alimuandaaahaiwezekani siku nzima nishinde ndani alafu natoka na kutana na ndoto ya kiu yangu
![]()
DahHakuna kicheko kinachozidi anichekeshacho bosiii wanguu yani anikosha anikonga mpaka kumoyoo!!! hahahaaa piga kelele kwa bosii akeeeeeeeeeee
!!










Weka tu kwa dakika moja halafu ufute mpendwaMsukuma ukishikilia jambo![]()



Usiende Mtumishi. Maana Kuna vitamanishi hatari na rooms zipo mita 12 tu na Bei ni pungufu kwerikweri.Aaah ndio nayapata hayo maeneo sema sijawahi Zama hapo upo unapiga machozi ya Simba![]()
Hapana sina video nayocheza mbona!Dah
Sawa basi tuwekee ile video unacheka na khanga,tuchukue ufundi hapo tusije kuachika![]()
Hawana maji safi ya kuoga, Dodoma maji Yana chumvi yanapaushaEti vinuka jasho. Vibaya hivyo mulangira!
Nakusalimu kwa jina la shemeji wakoAbeeeeeeee.
Nami nasubiri video mahondawHapana sina video nayocheza mbona!
Tena tabia mbaya mno,tuikemeeHivi kwa nini wana tabia mbaya mbona zetu toka mwaka juzi zipo humu hatufuti wala![]()

Nashukuru kwa kunitahadharishaUsiende Mtumishi. Maana Kuna vitamanishi hatari na rooms zipo mita 12 tu na Bei ni pungufu kwerikweri.


maana nilishapaweka kwenye to do list 
hata pale lockdown aisee mawakala wa shetani Ni wengi sanaSasa tupia vocha hapa mambo yaende harakaHahahahaa wew mpambe utaweza chelewesha majibu kwa maslahi yako binafsi![]()