Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Mpambe part 2 wakiongozwa na Anne!Wewe tena...
Mpambe part 2 wakiongozwa na Anne!Wewe tena...
Dah! Natamani niamshe chuma hapa niingie doma hapo nakolokolo langu 😃😃😃Fireeeeeeeeee fireeeeeeeeee fireeeeeeeee


Aah sitaki shidaNaona ulikimbia damu zisikurukie hukutaka ushaihidikaambie badae twende mtoko.. leo mbona kama nakuwa mshari mshari sijui kuna nini tu
Wapambe tuMpambe part 2 wakiongozwa na Anne!
Hutaki shida gani staff wangu 😃😃Aah sitaki shida
Mwenzangu na Mimi nijue Baga na pizza zina taste gani
Dah unamtolea mbali bro
Naye ni mtu na kipande kama wewe tu,Tena atakuwa anakuchekesha 24 hrs..
Unaonaga navyokuchekesha unacheka ,yeye utacheka mara 4 zaidi yangu![]()
Hawa nilikuwaga addicted kuwala wabichi.. sijui imeishatoka hiyo addiction au kwa mda nikiwaotea naweza watafuna hivyo hivyo.. naonaga process hadi kuwa kaanga ndefu
Kisu? Kumlinganisha na kisu Bosi Ledi ni kumdhalilisha. Itabidi tutafute sitiari nyingine ambayo haijapata kutumika katika lugha yo yote duniani
Boss ledi mwenyewe anajijua alivyo kisu



Baadae mkuu naweka inshaalahNeema za allah si haba na wew weka basi tudhihirishe ukuu wa mungu
Njoo Manyara lodge uhindini Fortnox ushushie kaschanaHaya ndio Mambo tunayotaka neema za Allah kwanini uzifiche fiche Kama sio ujambazi Ni nin
Inshaalah naweka mpendwa ila nawe tubaliki moja hujawahi kuweka hata ukucha😬Huu ni mwaka wa pili hujaselfika mpendwa. Leo basi tufanyie wepesi jamani?![]()
Njoo hii hapa uitie kwenye oven mwenyewe. Ni very healthy na haina mafuta mengi. Oven nshakupashia moto tayari.Mwenzangu na Mimi nijue Baga na pizza zina taste gani
Nilishaweka picha nne humu...na sijafuta...Inshaalah naweka mpendwa ila nawe tubaliki moja hujawahi kuweka hata ukucha![]()
Mkuu mbona mie huniita 🤠🤠🤠..Njoo Manyara lodge uhindini Fortnox ushushie kaschana
Ndugu nimetwekwa tayari... huenda siku nzima ilikuwa inanisubiri nije kutia nanga hapa 😃😃😃Upo Dom boss wangu