Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
itakuwa shetani alimuandaaa 😃😃😃 haiwezekani siku nzima nishinde ndani alafu natoka na kutana na ndoto ya kiu yangu 😀😀😀Labda anavijua vilevi vyako![]()
itakuwa shetani alimuandaaa 😃😃😃 haiwezekani siku nzima nishinde ndani alafu natoka na kutana na ndoto ya kiu yangu 😀😀😀Labda anavijua vilevi vyako![]()
DahMshindwe kabisa....Bosi wangu anitosha mieAnne huo ukuwadi nuksi mungu anakuona ujue
![]()


Bro, we si unakataaga hauko Dom wewe? Tena unaikandia Dom balaa eti huwezi kukaa mji umejaa vumbi hauna maji na ulishapita tu mara moja. Leo vuu bin vuu uko Dom? Umetoka lini mkoani?Njoo Manyara lodge uhindini Fortnox ushushie kaschana




One man downNdugu nimetwekwa tayari... huenda siku nzima ilikuwa inanisubiri nije kutia nanga hapa![]()


Mimi narudi iringa nachomoka Soon dodoma Pana mawakala wengi mno wa shetaniHanitaki sisi wanyonge bwana zetu figiri na milendaDah
Unatupiga chini hivihivi wazee wa Sangu
Fikiria mara 2 boss ledii kile kicheko utakuwa unacheka![]()
Fanya tu kuniandalia kabisa, nifikie kula tu. Sijui ntaweza kuila sasa, nishazoea makatapela mimiNjoo hii hapa uitie kwenye oven mwenyewe. Ni very healthy na haina mafuta mengi. Oven nshakupashia moto tayari.
View attachment 2153009
Inawezekana Yuko iringa anajua Mimi nipo maskani iringa kumbe Leo nipo idodomyaBro, we si unakataaga hauko Dom wewe? Tena unaikandia Dom balaa eti huwezi kukaa mji umejaa vumbi hauna maji na ulishapita tu mara moja. Leo vuu bin vuu uko Dom? Umetoka lini mkoani?
Nayanga bojo![]()
Aaaagh wewe kumbe upo huko jangwani!Upo Dom boss wangu
Ngoja tumsubiri. Kule juu ulisema uko Dodoma. Najua anajua uko Dodoma. Na yeye Dodoma huwa anapakana vibaya mno.Inawezekana Yuko iringa anajua Mimi nipo maskani iringa kumbe Leo nipo idodomya



Kapambane na mjamaica mvuta Jani!Mkuu mbona mie huniita..
🤣🤣🤣🤣 Hakuna kicheko kinachozidi anichekeshacho bosiii wanguu yani anikosha anikonga mpaka kumoyoo!!! hahahaaa piga kelele kwa bosii akeeeeeeeeeee🤸🤸🤸🤸🤸😂😜😜😜😜!!Dah
Unatupiga chini hivihivi wazee wa Sangu
Fikiria mara 2 boss ledii kile kicheko utakuwa unacheka![]()
Unakadiriwa kulingana na ulivokuja kuja![]()

Wew jamaa dodoma unapadiss Sana hivi manyara na shooters ni karibu eehAaaagh wewe kumbe upo huko jangwani!
Hahaaaaaa mkuu Sipo huko jangwani, nipo km 264 kutoka DomBro, we si unakataaga hauko Dom wewe? Tena unaikandia Dom balaa eti huwezi kukaa mji umejaa vumbi hauna maji na ulishapita tu mara moja. Leo vuu bin vuu uko Dom? Umetoka lini mkoani?
Nayanga bojo![]()
Tuache mboyoyo mingi Nitakutumia usijaliUjue tangu juzi nasubiri picha yako Eyce.
Mimi nipo Ileje ndanindani huku,tutakutana wapi sasa??
Nakuandalia kweli. Na chicken wings ziko tayari. Na mvinyo mwekundu usiolewesha (unalainisha tu). Ole wako usitokee Mtumishi. Mtiti wake Misungwi nzima watajua!Fanya tu kuniandalia kabisa, nifikie kula tu. Sijui ntaweza kuila sasa, nishazoea makatapela mimi



Ukitoka Shooters unavuka barabara ya uhindini unapandisha juu kidogo kama inaelekea Agha Khan. Hapa kwenye msikiti wa wahindiWew jamaa dodoma unapadiss Sana hivi manyara na shooters ni karibu eeh
😬😬😬Nilishaweka picha nne humu...na sijafuta...
Haya nasubiri hapa hapa mpendwa uselfike. Nitafurahi mno!
Ushakwepa dah!Hahaaaaaa mkuu Sipo huko jangwani, nipo km 264 kutoka Dom

Pizza😋Njoo hii hapa uitie kwenye oven mwenyewe. Ni very healthy na haina mafuta mengi. Oven nshakupashia moto tayari.
View attachment 2153009