cc acha dharau bas, mie mtoto kweli? Km naweza kumbeba kifuani mtu mzima mwenye meno 32 yote, na akatoa maneno na lugha 27 ambazo anapaswa kunena akiwa kifuani kwa mtu, huo utoto wangu uko wapi?
Dunia imefunguliwa sahivi, mambo kidigitali, wee chelewa hivyo hivyo