Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Baadhi ya maumivu yako makali kabisa yatatokana na watu ambao uliwasaidia
Na mimi ni wa kwenu pia!



So sad wallaqhHivi Chemistry shule ulifanya vizuri kuliko unavyojua kuchanganya kemikali za vileo?!
![]()
Naomba address nikufanyie delivery. TGIFOoh asante sana , this so sweet of you...
Napenda roses ndio huwa naishia kuyaona tu kwa picha au nikipita pale Mbuyuni .
Lakini sahv unachanganya kemikali kuliko hata mkemia mkuu wa maabara ya taifa!So sad wallaqh
Nilikuwa busy na vishazi mning’nio















Ooh you're so thoughtful ..Thank youNaomba address nikufanyie delivery. TGIF
Pole sanaYaan sijaona kitu, app inazingua sana kwangu lol.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ahsante Sana mpendwa...ila mimi mmama ujue..Basi tu sura imegoma kuzeeka




![]()
Kesho nikienda lunch mahali nitakuonyesha ka best mocktail ever..
Jua likiwa kali sana sitoenda, maana uwa navurugika sana ubongo nikitembea juani






khaaaahBest mie sijaona jomonee, hebu weka nionee lol.Ah siwezi
Watu wapo aisee,
Yatakukuta mambo lol.Kwamba nikabold au ni re write na capital letters?




Nini dogo?
Dada mvivu huyu khaaaah,Naipenda ya curaçao
Hapo kwa lunch ni kwa kutembea, sasa na siku hizi jua linavyowaka inakuwa kipengele.





Lakini sio kwa shemejio 🙃
Origin tena em nenda sijui google
Ia wine zangu origins zake najua
Try pia mocktail ya ginger ale na orange juice na sugar syrup kwa mbali… kuna ka kitu pia wanawekaga nimekasahau ‘ kanaishia na berry vile
Napenda kunywa kunywa
Mm hata naweza acha ice cream iyeyuke afu niweke kwa mug nikunywe na mrija![]()







Dada mlevi huyo, asijue pombe tenaah?Aisee ongea na watu uyajue mambo
Huwa nazichukulia poa , kumbe ndo nzuri hivyo ..
Unajua vinywaji wewe dada balaaa, Mimi huwa nahisi vitakuwa vichungu pia ..
Well you're an expert on this miss , keep it up




