Selfika na JF: Snap it. Show it

Yule profesa ndio kamfundisha ukocha klopp alimuokota bar,,Msimu ujao nyie livakuku genge la wahuni tutawapiga nje ndani
Kwa timu ipi mliyonayo ya kutupiga sisi??
Hadi wolves wanawatandika.
Mbona tu kukalia ile nafasi ya 2 hamuwezi
Na tuliwalisha bao Tano kwa nunge.

Nyie hata mkicheza na Dar kwanza,Dar kwanza anashinda.

Huyo profesa wenu wa gengeni ameshachanganyikiwa haelewi hata anafanya nini.
Mashabiki nao wamepoteana mara De Gea aondoke mara Ronaldo Mzee,mara kapteni mlevi yaani ni full burudani.
 
Shouuzzzz leo umetokolezeeaa ki headmistress uwiiiih


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kawaida yake huyu.
Sijawahi kumuona hajatokelezea.

Mwili wa kiboss lady unakubali kila nguo,,,hapa bado hajatupia zile suruali zake official

Mungu alimuumba asubuhi mapema kabisa baada ya chai nzito.
 
Kawaida yake huyu.
Sijawahi kumuona hajatokelezea.

Mwili wa kiboss lady unakubali kila nguo,,,hapa bado hajatupia zile suruali zake official

Mungu alimuumba asubuhi mapema kabisa baada ya chai nzito.
Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila the lady is so hot πŸ”₯, isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live πŸ™ŠπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Nilikuwa sijaelewa Ujumbe, kumbe unawahusu Vijana wa Leo.


Sisi enzi zetu ilikuwa unamwambia Mama Bhoke ajitayarishe tu wewe ni kulenga shabaha basi πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
😁😁😁 haya mambo ya vijana wazuri kizazi cha leo kama kina Saint Anne ndio watakuna na hivyo vi mbwanga..
 
Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako πŸ˜‚πŸ˜‚

Ila the lady is so hot πŸ”₯, isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live πŸ™ŠπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯± ila nyie 🀣!
 
Kweli unajua kusifia, Ungekuwa Mwanaume Mabinti zetu wangeshindwa kuchomoa mistari yako


Ila the lady is so hot
, isingekuwa Uzee huu ningefunga safari kwenda kumsifia live
Sifa ninazotoa ni amini na kweli
Anastahili..boss lady anastahili kabisa,hakika anastahili.
Nasema uongo ndugu yangu?
.........

Hapa bado sijaanza kumvurumishia mistari mwanaume mwenzenu,mtoto wa mwanamke mwenzangu fulani aliyenifyatulia mwanaume na nusu duniani hapa.
 
Kawaida yake huyu.
Sijawahi kumuona hajatokelezea.

Mwili wa kiboss lady unakubali kila nguo,,,hapa bado hajatupia zile suruali zake official

Mungu alimuumba asubuhi mapema kabisa baada ya chai nzito.
Anne unajua Nimecheka mpaka nahisi kukauka kwa kicheko🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±
 
wee ndyoo bhana. Headmistress afu huniambii kwann? Je km nilkua mwanafunzi wako? Hahahah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
🀣🀣🀣🀣🀣🀣ilaaa na Saint Anne leo mmejua kuniua mbavu πŸ₯±πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ₯±!!
 
Trey je? Sema huyu kapoa kama uji wa mtoto
ila mcute


Yup, ya JS niliiona Ytube…

Macho yako good
Huyo sio sana, Willow kapo mno aaah, hata Jaden nae sema ananiudhi anavojiwekaga ka zombie, ananikeraa mnoo.

Yaan JS nlivoskia hata sikula yaan, nlikua had nataka kulia aseeeh.

na mie masikio yangu yako poaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
ila mashabiki wa man u khaaah..

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…