Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Haujachanika.hata kwangu hakubalikiPole
Mkeka umekuchanikia
Mtu mbaya sana huyo HM
Haujachanika.hata kwangu hakubalikiPole
Mkeka umekuchanikia
Mtu mbaya sana huyo HM
Vibaya hivyoHaujachanika.hata kwangu hakubaliki

Hujambo binti yangu?Na bado
Haki sawa hakuna kupigizana kelele.Vibaya hivyo? Hujambo binti yangu?









Marahaba aise.Haki sawa hakuna kupigizana kelele.
Sijambo Daddy SYB shikamoo

Asante SYB…Marahaba aise.
Happy Women's Day japo nimechelewa. Ulipita tu hapa kipindi fulani halafu ukapotea. Pole na kazi![]()
Ungejua mambo ni mazuri Huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na bado
HakikaAsante SYB…
Yes niliwakumbuka nikasema ngoja niwape japo hi tu ..
Ni hongera na kazi daddy maana kuna watu sasa hivi wanatafuta kazi hawapati
😅😅😅😅Juzi nimeweka ukajisevia hapa kimya kimya mdogo wangu au siyo weweMjep shkamoo.
Nikiwepo mimi hieki vocha,nikitoka unaweza!
Unataka nizipate wapi sasa?au unataka niwe kibaka🤣🤣🤣
Sijapata vocha yoyote Mimi na Wala sikuona.😅😅😅😅Juzi nimeweka ukajisevia hapa kimya kimya mdogo wangu au siyo wewe
Marahaba mama mchungaji umeamkaje mdogo wangu?
Wewe siyo wa kuiba mdogo wanguSijapata vocha yoyote Mimi na Wala sikuona.
Hebu niambie,unataka nikaibe wapi sasa?
Sikuona Jana mmeona mda huu asubuhi!!nakupendaga sana halafu sana my binamu thank you for this sio wa kwangu na kwa wengine umewaponya!ahsante rafiki I always appreciate you honey!Love yuuu sanaMweeh nikahisi nimeanza kupoteza memory nikajisemea mbona leo sio Valentine's day; kumbe sijapoteza bana.
Enjoy binamu yangu mwaya; ni baraka sana kupenda unapopendwa; namaanisha. Sio Kila mtu amepata nafasi ya kuexperience "mapenzi" ya kweli in lifetime. And the wisest part of you ni kwamba uliamua kumuachilia aliyetaka kuondoka; ukaamua kusamehe na kuendelea mbele; hukubeba uchungu, hasira wala kinyongo. Ungeendelea kumshikilia leo hii ukabeba mauchungu na mahasira yake; hata Mungu akuletea Malaika ungempoteza tu kwa sababu usingeweza kuuona weka/uzuri wake upo busy unawashikilia watu waliokwisha ondoka kwenye maisha yako.
Mshukuru Mungu sana kwa neema ya msamaha; coz for a fact hakuna watu wagumu kudeal nao kwenye mahusiano kama Divorcees; majority wanaishi na bitterness na wapo so frustrated; kwa sababu mioyo yao imejawa na majeraha bado; but see you have come to accept everything finally and move in peace. Aisee uendelee kuvunjaga na hilo agano la ndoa yako iliyopita lisije likanena/kwenda kinyume na ndoa yako mpya. Love is a very beautiful thing; enjoy bina
Mimi huyu.. wewe huyo... sawa tu 😒😒😒Haujachanika.hata kwangu hakubaliki
Hayo maombi Kwa HhS nitayafanya nikipata vocha.. ikiwezekana nitakupa picha yake🤣Wewe siyo wa kuiba mdogo wangu
Ngoja nitakuita mida mida kwa sasa bado ninelala
Ila naomba umwambie mama mchungaji Heaven Sent hajafanya fair kabisa mimi nimejitahidi kumuomba aselfike akasubiri nimesinzia ndo anaselfika hapa yaani nimeumia kweli kuikosa hiyo piacha alafu inavyosifiwa sasa😭😭😭
KwambaHaujachanika.hata kwangu hakubaliki


Mwalimu mzuri sana wewe



Ndiyo.Kwamba
Kikao cha jana
Ndio kilitoka na hilo tamko![]()