Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe siyo wa kuiba mdogo wangu
Ngoja nitakuita mida mida kwa sasa bado ninelala
Ila naomba umwambie mama mchungaji Heaven Sent hajafanya fair kabisa mimi nimejitahidi kumuomba aselfike akasubiri nimesinzia ndo anaselfika hapa yaani nimeumia kweli kuikosa hiyo piacha alafu inavyosifiwa sasa
Ya usiku mwingi

Ni balaa

Kwa nilivyosikia

Ni mateso bila chuki
 
Hahaaa usinikumbushe Extrovert anavyoulizwaga kwanini kila siku anapigwa ban yeye tu anajibu eti siku nyingine huwa anajitahidi kukaa kimya ila anakutana na mtu anasema January Makamba ni Jembe hapo lazima tu ban itamhusu nilicheka sana asee daah
.. tatizo Mzee Baba@Extrovert siyo mvumilivu ahahah
 
Back
Top Bottom