Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Siku hizi nazeekana huwa unajua kushusha gazeti wallah, yaan hata paragraph 6 na zilizojaa maneno woiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Siku hizi nazeekana huwa unajua kushusha gazeti wallah, yaan hata paragraph 6 na zilizojaa maneno woiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Naomba hiyo picha ya familia yako laivu kama ulivyoahidiMkuu huyo akikuwekea nitaweka familia yangu yote bila imoj.
Huyo anawekaga kama kimbunga, na harudiagi. Wanaomtingaga sana anawapelekea pm, hao ni wadada tuu.
Halafu unaweza usimuone akichangia saa nne mpaka saa nane usiku, hata umtagi hajibu, jiroge utupie picha, anakuquote anakwambia asante usiku mwema.
Heaven Sent njoo ubishee
Usiwe unalala mapema sasaInauma sana kukuta mtu anasifiwa mzuri halafu hukuthubutu kuuona uzuri/picha yake
Dada yangu kipenzi mzuri Heaven Sent sijawahi kuthubutu kukutwa na picha yako nakuta unasifiwa tu
Fanya wepesi mkuu
Si umeona condition hapo mkuuNaomba hiyo picha ya familia yako laivu kama ulivyoahidi
Unakaribia karibia kwenye ukweli...
Aah ni hilo tu?Si umeona condition hapo mkuu
Ilikua ni kama utaweka kwa kujibu ombi lake specifically.
Mufindi au ndiyo nimekosa kabisa?Unakaribia karibia kwenye ukweli...
Bado kiduchu...
Ewaaaa....Nna msiba hapa naogopa kulalaView attachment 2143881
Hahaaa!we umefuta ht sijaonEwaaaa....
Sijafuta wala sijui huwa mnafutaje.Hahaaa!we umefuta ht sijaon
Yah, ambalo halikufanyikaAah ni hilo tu?
Kwangu sioni kitu
Pole sana..Kwangu sioni kitu
Mafinga ipo ndani ya Mufindi (kama sijatoa Boko)Bado kiduchu...
Hivi Mafinga ipo ndani ya Mufindi au Mufindi ipo ndani ya Mafinga ?