Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
Hakunaga mtu mwembamba afu akawa mpole
Angalia usije kufursaliwa
Something more than gold, I've got something more than silverMy heart beats for You
As the deer pants for water so
My soul longs for You
Forever and ever, yes
My heart beats for You
Aki sijaielewa
Kama umeishiwa picha em njoo nikupe.
Au urudishe ile ya mwanzoni bana ndio naipendaga inakupendeza
Sijaona mie jomoneeeeh lol.Beautiful indeed! Kuna ntu anafaudu!!
Duuuuuh tena mie ndo mlengwa, afu nimekosa woiiiiiih
Ya Ummy imekaa vizuri zaidi maana imejikataa mara nyingi
Wanaziita shingo za cheni
Japo sijawahi kuvaa cheni hata
Haha kweli Kilimanjaro Lager zimepotea kiaina siku hizi japo huku mtaani kwetu bado zinauzwa. Nadhani ni kwa sababu ya hii mpya Kilimanjaro Light iliyoingia juzi kati ni kama wanaitafutia soko hivyo wanaipoteza hiyo Lager makusudi ili Light iuze kwa wingi.
Ila Kili haijaifikia Balimi kwa kupotea asee. Sasa hivi Dar sehemu nyingi kama si zote Balimi hakuna na ukiulizia watu wanakushangaa wanasema hizo bia za wakulima siku hizi huku mjini hazipo utazipata mikoani na maeneo kama Dom nilizikuta kwa wingi.View attachment 2142310
Vipi hukusave? Mbna unanirusha roho hivyoo?Waukweee!!! una macho mazuri yakurembua
Mbna unanipa heka heka ya kutaka kuona?Toto mtamu sana weye... ukimuangalia mtu anakata netwek!!! You have very beautiful eyes!!!!!
Nasikia ninyi wanaume warefu wembamba ni moto wa kuotea mbali
Nasikia usipokuwa mtaalamu inaweza kutokea kooni… teh teh
Eti kachumbari zao ni za matango mengi, afu hawatumiagi kabisa bamia.
You sit in the heavensSomething more than gold, I've got something more than silver
Something more than life
I've got something more than riches