Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Haha jicho halifai kuliweka hapa .Na hapo Pana umuhimu kwerikweri kwenye jicho
Haha jicho halifai kuliweka hapa .Na hapo Pana umuhimu kwerikweri kwenye jicho
Ooh thanksSiku siku tupia maeneo ya Kati dia!! unavutia sana![]()
Weka hata moja tuHaha jicho halifai kuliweka hapa .
Kuanzia mabegani kushuka mpaka unyayoniOoh thanks
Maeneo ya Kati ndo wapi hayo dear ?
Hahahaa .... ..... una makusudi Tinsley! kwamba hujaelewa!!!!!!!!🤣🤣😜Ooh thanks
Maeneo ya Kati ndo wapi hayo dear ?
Hukuwepo whole day, ukifanya kitu itakuwa poa
Kwamba mmemiss picha?
Kuanzia mabegani kushuka mpaka unyayoni
Hahaaaaaa. Tatizo kazi zetu mnazitaka pia.Asante sana kashaija ...kwani aibu niliona mimi !
Sioni ya kuweka hataWeka hata moja tu
Ooh kumbeKuanzia mabegani kushuka mpaka unyayoni
Yoyote tu Icrop ondoa kichwa tafadhariSioni ya kuweka hata
Haha kweli Kilimanjaro Lager zimepotea kiaina siku hizi japo huku mtaani kwetu bado zinauzwa. Nadhani ni kwa sababu ya hii mpya Kilimanjaro Light iliyoingia juzi kati ni kama wanaitafutia soko hivyo wanaipoteza hiyo Lager makusudi ili Light iuze kwa wingi.Na Mimi huwaga namnyanyasa kwenye anga zangu Fulani.
Kumbe balimi zimepotea??
Nitajitahidi kutokuwa adimu kama Kilimanjaro .
Stress tu za maisha,maisha magumu yanapelekea Hadi nakosa bando .nasubiri nihotspotiwe ndipo niingie mitandaoni kuchungulia.
Niliweka haikuaa sana ..Asante sana kashaija ...kwani aibu niliona mimi !
Sioni ya kuweka hata
Tayari dearjamani!!!![]()
Wooow
Hiyo judgement tuachie sisi. Weka tafadhariNiliweka haikuaa sana ..
Hayo mambo tuwaachie nyie wenye shape zenu.
Wengine tupo shapeless .
Usisahau Mimi ni mnyaki; wengi wetu sio waremboNasikia unawazidi