reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Una maupendo mnoo kutuita barikiwa sannaaa
Una maupendo mnoo kutuita barikiwa sannaaa
Kwenye uga upiNasikia ninyi wanaume warefu wembamba ni moto wa kuotea mbali![]()
Nasikia usipokuwa mtaalamu inaweza kutokea kooni… teh teh
Eti kachumbari zao ni za matango mengi, afu hawatumiagi kabisa bamia.


Wote humu wajukuu zangu tu...Mjukuu wako yupi huyo?ili nimuambie akufanyie wepesi.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ukiwiwa kuweka Airtel utanistua
Nangoja apa
Jana umekosaaUkiwiwa kuweka Airtel utanistua
Kumbe upooooUkiwiwa kuweka Airtel utanistua
Ndio mmekosaUnangoja ipi?
Hiyo umekosa?
Usisahau kuselfika
Namna hiyo😍