Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Hakunaga mtu mwembamba afu akawa mpolewacha wee? Sisi introvert mambo yote tunamalizia hapa JF, huku uraiani ni upole mwa mwi yaan,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hakunaga mtu mwembamba afu akawa mpolewacha wee? Sisi introvert mambo yote tunamalizia hapa JF, huku uraiani ni upole mwa mwi yaan,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwamba nimekunyima?Ona sasa uchoyo wako wa picha unaanza kufanya watu wahisi Nina picha Zako kumbe hata Mimi ulininyima.


Angalia usije kufursaliwa 😆Basi utanipa hilo darasa, huwa siachagi fursa mie.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahaaaaaa, nipo dakika chache nakusubiriMtu na nyota yako ya kupitwa![]()
Majobless ndio sisi sasa.was kuuza barafu uwe wee? Na sie majobless tuuze nn? Khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
😁😁😁 cha majini rahaHapo kukwaa samaki tyuuh. Au kutega na mtunungu wee nyomiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Endelea kusubiri; zitamwagika selfies sasa hiviHahaaaaaa, nipo dakika chache nakusubiri
Kwani lini ulinipa?
I miss you too D😂😂
😁😁😁😁 uzuri wengine toka utoto ni wachafu wachafu.. hata wakubwa wenzetu wameishatuzoe.. ila kama ukiwa smart alafu uwe rafu watu watazani dishi limeyumbaMashine haitakatishi nguo. Hatupo Switzerland Wala Canada hapa ni 30°c . kola inachafuka vilivyo haiwezekani ikatakata kwa kuzungushwa tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 sitaki kucheka banaI miss you too D😂😂
Leo tu nimekupa tatuKwani lini ulinipa?
Kwanza hiyo avatar vepeee🤣🤣🤣🤣🤣 sitaki kucheka bana
Na mie naomba 😔😔😔Leo tu nimekupa tatu
Yan kwamba imefubaa au 🤣🤣🤣🤣🤣Kwanza hiyo avatar vepeee
Aki sijaielewa😂😂Yan kwamba imefubaa au 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimwambie akuforwadie dada ako?Na mie naomba 😔😔😔
sitaki 😌😌 mie sio wa kufowadiwaNimwambie akuforwadie dada ako?
Njoo uchukue basi😂😂😂sitaki 😌😌 mie sio wa kufowadiwa
🥳🥳🥳🥳🤗 ndio maana napenda wewe dadaNjoo uchukue basi😂😂😂