Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Jana ulikuwa wapi kwani?Bina selfika baasi
Jana ulikuwa wapi kwani?Bina selfika baasi
Hizo bange anazokunywa...Nimecheka mpaka nimepariwa na tunda ya ubuyu
We mtoto leo mbona umeranduka sana?
Ee kanajifanya hakana picha zako wakati kanazo full kabisaAnawazunguka eeh?![]()


Kwamba mwakani tutaanza kuzisikia picha zako bombaniNimeokoka mwaka huu, subirini mwakani![]()


KabisaaaaYan kwamba mguu wangu ndio paja lako?![]()




Kumbe eeh? 😂😂😂😂Ee kanajifanya hakana picha zako wakati kanazo full kabisa![]()
Eeh zitapotea kama previous years😂😂Kwamba mwakani tutaanza kuzisikia picha zako bombani![]()
Kudadeki zako
Karibu pia basi tusave UTT



UTT si inahusu watoto au mie siwaelewagi vizuri matangazo yao? Yaani nimesoma ile comment mara kumi kumi maana sijaamini kama ni wewe ndiyo umeniambia vileKama naliona hilo bichwa sasa![]()


Huu mwaka Mungu atakuletea surprises za kutosha 😂😂Yaani nimesoma ile comment mara kumi kumi maana sijaamini kama ni wewe ndiyo umeniambia vile![]()
Kaone kalivo kasumbufuunataka nikadeke wepi sema sasa sema sasa
![]()


Nimecheka mpaka nimepariwa na tunda ya ubuyu
We mtoto leo mbona umeranduka sana?





kweli ivi au wee hiyo suruali yake hujaona? Kaangalie afu nambie. Hahahah😔😔😔😌😌😌 sawa tuKaone kalivo kasumbufu![]()
Hizo bange anazokunywa...






mama malezi, mie nakunywa bange kweli? Hebu nionee huruma, mbna unataka kunipeperushia bahat yangu? Kuna mtu ananiona mie person material, yaan anagalagazwa na mie vilivyo. UwiiiiiihDuuh. Wapenda visendo
Nani huyo tena jamani?mama malezi, mie nakunywa bange kweli? Hebu nionee huruma, mbna unataka kunipeperushia bahat yangu? Kuna mtu ananiona mie person material, yaan anagalagazwa na mie vilivyo. Uwiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na nikifika chumba jajirusha tuu tii 😁😁 shuka itafuta vumbiDuuh. Wapenda visendo