Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Utanikuta Kimambaππππ ndio naenda hapo sa hii natokea hapa Chanzuri sec school then napita hapo Ilonga kituo cha afya alafu shwaaa sijui ntaenda wapi tena πππ
Utanikuta Kimambaππππ ndio naenda hapo sa hii natokea hapa Chanzuri sec school then napita hapo Ilonga kituo cha afya alafu shwaaa sijui ntaenda wapi tena πππ
πππ unataka nikadeke wepi sema sasa sema sasa πͺπͺIla huyu mdogo wetu naye anadeka mno jamani khaa![]()
Hata hivyo vichwa ndo vinakua UDSM tyuuh.vutoto vya UDSM mnajionaga kama mpo Yale vile
.. chuo sio majengo chuo ni kichwa tu




Mfyuuuuu.. tuliosoma zoom polytechnic mbona tunawachakaza chakaza π€£π€£π€£Hata hivyo vichwa ndo vinakua UDSM tyuuh.
Hata hao wa hapo, walipenda kuwa UDSM ila tyuuh walishindwa kutumiza azma hiyo, Kwan nan hapendi kuwa UDSM? weuweeeeeeeeeh.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
nisikukute sasa.. ππππUtanikuta Kimamba
Kweli haujengwi kwa matofali.... sio mchezo na mwili unaonekana kabisa!! Hope you enjoyed your meal dia!
πͺπͺπͺπͺUnanichimba biti? Hunikuti
hy ni kilosa?ππππ ndio naenda hapo sa hii natokea hapa Chanzuri sec school then napita hapo Ilonga kituo cha afya alafu shwaaa sijui ntaenda wapi tena πππ
ndiohy ni kilosa?
Ongea kiswahili π€£π€£Eeeeeh mambo haya sasa, wapiiiiih stogimbiiii
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kibati? Mtoto mdogo unacheza vibati vya nini π€£π€£π€£hivi una nn wee? Nimecheka mno, nlipovunja kikoba, upatu, na Mpeano, ndo nkaamua niji bless na tour ya hotel maarufu, nkaanzia Hyatt regency, nkamalizia Johari rotana,
Hebu nitafutie spouse mwenye mawe yake jomoneee, niwe naenda vacations Maldives na Ibiza.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Njoo tunywe Coca na maparachichi
Mbona kama niliona picha yako jamaniKibati? Mtoto mdogo unacheza vibati vya nini
Nikutaftie spouse? Haki ya kweli, labda nikusaidie kutafuta sehemu ya kufanyia field
Unataka kusemaje?Mbona kama niliona picha yako jamani