Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji16][emoji16][emoji16] vutoto vya UDSM mnajionaga kama mpo Yale vile [emoji3][emoji3].. chuo sio majengo chuo ni kichwa tu
Hata hivyo vichwa ndo vinakua UDSM tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hao wa hapo, walipenda kuwa UDSM ila tyuuh walishindwa kutumiza azma hiyo, Kwan nan hapendi kuwa UDSM? weuweeeeeeeeeh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hata hivyo vichwa ndo vinakua UDSM tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hao wa hapo, walipenda kuwa UDSM ila tyuuh walishindwa kutumiza azma hiyo, Kwan nan hapendi kuwa UDSM? weuweeeeeeeeeh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mfyuuuuu.. tuliosoma zoom polytechnic mbona tunawachakaza chakaza ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unanichimba biti? Hunikuti
IMG_20220307_151151.jpg
IMG_20220307_151147.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi una nn wee? Nimecheka mno, nlipovunja kikoba, upatu, na Mpeano, ndo nkaamua niji bless na tour ya hotel maarufu, nkaanzia Hyatt regency, nkamalizia Johari rotana,

Hebu nitafutie spouse mwenye mawe yake jomoneee, niwe naenda vacations Maldives na Ibiza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kibati? Mtoto mdogo unacheza vibati vya nini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nikutaftie spouse? Haki ya kweli, labda nikusaidie kutafuta sehemu ya kufanyia field
 
Back
Top Bottom