Ndipo spouse anapokupelekaga 🤣🤣🤣🤣Hivi hii hotel ya vede iko posta? Nashindwa kuelewa, palm village, na Verde, ziko wapi ila naonaga Millard Ayo anapatangaza mnoo, napajua Hyatt regency na johari rotana.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ila huyu mdogo wetu naye anadeka mno jamani khaa


Kameelewa sana sema kanajifyatua akili tu hapa
Kila mtu analala kwake ila mnawahi kulala mapema


Eeeeeh mambo haya sasa, wapiiiiih stogimbiiii





Nitakutumia lokesheni![]()




hebu fanya hivyo bhana. Ndipo spouse anapokupelekaga![]()






hivi una nn wee? Nimecheka mno, nlipovunja kikoba, upatu, na Mpeano, ndo nkaamua niji bless na tour ya hotel maarufu, nkaanzia Hyatt regency, nkamalizia Johari rotana, 






Misele kama kawaida, kidogo hapa kupiga lecture mabinti wasilubunikeView attachment 2142005






km secondary jaman khaaaah, eti chuo uwiiiiiih. 😁😁😁 vutoto vya UDSM mnajionaga kama mpo Yale vile 😀😀.. chuo sio majengo chuo ni kichwa tukm secondary jaman khaaaah, eti chuo uwiiiiiih.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Anajichetua tuKiswahili kigumu sana nkamu🤣🤣🤣
Anawazunguka eeh?😂😂😂We si unasemaga unajua pa kumpata usituzunguke
Halafu nimekumiss siku hizi unapotea kama balimi![]()
Nimeokoka mwaka huu, subirini mwakani😂😂Dada angu hanaga hiyana
Siku hizi upako wa roho mtakatifu umemshukia amekuwa siyo mchoyo tena wa picha zake![]()
Wasalimie na Ilonga MsalabaniMisele kama kawaida, kidogo hapa kupiga lecture mabinti wasilubunikeView attachment 2142005
Kana matatizoKameelewa sana sema kanajifyatua akili tu hapa![]()
Tumepatikana mwaka huuIla huyu mdogo wetu naye anadeka mno jamani khaa![]()
😁😁😁😁 ndio naenda hapo sa hii natokea hapa Chanzuri sec school then napita hapo Ilonga kituo cha afya alafu shwaaa sijui ntaenda wapi tena 😀😀😔Wasalimie na Ilonga Msalabani
Kama naliona hilo bichwa sasa😂😂😂Jamani jamani nkamu bichwa limevimbajeee
Nakupendaga bure tu dada yangu![]()