Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,034
- 6,038
😜😜😜😜😜 mpambee 👈👈👈👈😂Aiseeeeee
Watu wamejaaliwa balaaaa
Big up boss lady
😜😜🤣🤣🤣✌️✌️Bestiiiiii....![]()
Unayajua mabegi hayo best?, mwezi Ujao nitakuja Senene City kwahiyo nitakuletea zawadi ya Shangazi Kaja Moja 😂😂🏃🏃Shangazi kaja 😂😂😂🤣🤣!!
Hahahaaa.... Nimemisi kuona kidevu fulani ameizingggggg!!!Mkuu hii ni hatari nyingine asee! Kweli wenye visu vikali wanafaidi!!
Wacha nipambe vizuri tu mkuu😜😜😜😜😜 mpambee 👈👈👈👈😂
Ilibidi wote tumalize hapa kama mahondaw . Baadae inakua another episodeYangu baadae, na mie natuma ya kipusa cha jeans, sitaki kutambishiwa mie akuuuiih, mie natuma mida yangu, wengi wanakua wamelala,![]()
Unayajua mabegi hayo best?, mwezi Ujao nitakuja Senene City kwahiyo nitakuletea zawadi ya Shangazi Kaja Moja 😂😂🏃🏃
Na imagine ikiwa kwenye rangi yake og inakuajee..
Hahahaaa...badaee🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️Na imagine ikiwa kwenye rangi yake og inakuajee..
Acha tuendelee kufa na hatutoki hapa.
,Asante, piga picha hiyo Asante nikiwa naitoa mahali pake na Uzee huu inatoka huku inatetema As...ante.eee, asa...nteeee
Natamani nirudie enzi zangu![]()





hata sauti haitoki vizuri mzee ushabananishwa hapo hupumuiii


Ni kweli kabisa
Siku nikiwa Dodoma nitakucheki tupate japo Serengeti lite murua

Kwa sequences ilivyokua, mimi nlikua wamwisho BestStarting with yours
Basi baadae pachimbike hapa.Hahahaaa...badaee![]()
Basi tutaonana tu chiefOoh! Huku nakuja mara moja moja bosslady. Tuonane jiji lenye joto kali![]()