Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,532
Hiyo inatosha🥂Endelea kuselfika mkuu uibariki weekend yetu
Hiyo inatosha🥂Endelea kuselfika mkuu uibariki weekend yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo dakika chache mpaka badaeeee
MaputoWewe uko kwa wapi mkuu [emoji846][emoji846]
Unajikuta unamwambia babe kuna cheque yako ya milioni 12 nenda ukanunue IST, na kile kiwanja chako Cha Bonyokwa kesho napeleka tofali 4500 ukaweke vyumba 3.,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata sauti haitoki vizuri mzee ushabananishwa hapo hupumuiii[emoji23][emoji23][emoji1787]
Hahahaaa..siyajui snap kidogo utupie nilione🤣🤣🤣
Ya Leo ilikuwa maalumu kwa ajili ya wadada; mishono yetu tuIko wapi Boss Lady?
Ila leo watu wameselfika kweli halafu nimeambulia zero. Mpaka Mama Mchungaji imagine. Hovyo sana [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Macho yangu yameona vizuri ama?
Ewaaaaaà..........
Ebu yafute vizuri mama mchungaji
Leo unalala hapahapa?Ebu yafute vizuri mama mchungaji
Leo sibandukiiiii nina zoom tuuLeo unalala hapahapa?
Cc leo umetokelezea, hebu weka vizuri kwan bas nawee, [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji28][emoji28]Leo sibandukiiiii nina zoom tuu
Hapana😂😂😂Macho yangu yameona vizuri ama?
😁😁😇Ewaaaaaà..........
Mdogo wangu 👌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka nusu niangushe cm wallah,Unajikuta unamwambia babe kuna cheque yako ya milioni 12 nenda ukanunue IST, na kile kiwanja chako Cha Bonyokwa kesho napeleka tofali 4500 ukaweke vyumba 3.
Ukifanya hivyo unajikuta unapewa mitindo yote hadi unajikuta unakata moto katikati ya mchezo[emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ili mnione nilivyokuwa kituko au siyo?😁Cc leo umetokelezea, hebu weka vizuri kwan bas nawee, [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHapana[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo kupatwa kwa suruali[emoji23][emoji23][emoji23].
Nimeona nisibaki nyuma..hadi mama yetu mh Rais anavaa kama hizi;mimi ni nani nisijaribu?
Mama mchungaji weka full hata sekunde 2 tuuIli mnione nilivyokuwa kituko au siyo?😁