Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Nishaiona Boss Lady.msukuma nakupa 5 mins naifuta sitairudia!
Yu da truth...hakuna mwingine hapa



Nishaiona Boss Lady.msukuma nakupa 5 mins naifuta sitairudia!



Asante kamanda. Angalau nimeambulia kakitu. Kutoka bila inauma...mtuchake Shimba Ya Buyenze usiseme sijakwambia mkuu
Haya pokea simu nakupigia hupokei msukuma!
Matusi ndo yanauza....biashara!Matusi tupu...hapo ndipo tunapoharibu na kuua vipaji
Tumsifu bwana!!
Hahahaaa..... bado kuongezeka kama 10 kilos si ndio!!!?¡🙄
Haya pokea simu nakupigia hupokei msukuma!
Asante sana Boss Lady. Ubarikiwe sabini mara sabiniHaya pokea simu nakupigia hupokei msukuma!



Yes sirChako kama chakorii
Linaonekana ni lizuri.
Hivi hakunaga ABC la Dar to Mwanza?
😊😊Haya pokea simu nakupigia hupokei msukuma!
Hii nimeiiba sehemu😃😃Weuweeeeeeeh leo shape's day,![]()
Ni kweli kabisaWako na super services kwa kweli..
Kwa hili sijafahamu mpendwa…
Mkuu mbona hujajibu swali langu! Ukiniona tu unaahirisha kutuma picha..I must be a scary lion dadeq!Hahahaaa..... bado kuongezeka kama 10 kilos si ndio!!!?¡🙄
Milele AminaTumsifu bwana!!
😂😂😂😂😂😂! Usiwaze Badae ma mtumishi leo nina mood ya kuselfika balaaBoss lady ahsante kwa zigo, japo naku-quote tu kitu holaaaaa. Ngoja nirudi ibadani
Hata wewe umebarikiwa dada….🥰🥰🥰Upaja upaja!
umebarikiwa sanaaa![]()
Na wewe umeshuhudia zigo la kivunja chagaBoss lady ahsante kwa zigo, japo naku-quote tu kitu holaaaaa. Ngoja nirudi ibadani