Linaonekana ni lizuri.ABC boss
Yani nimetoa macho kama msoma rada wa jeshi.yani naangalia sioni ya kuwatumia..Msichoke dakika sifuri
Dah! Kwa nini mkuu?Halafu sijui kwanini nikitaka kutupia nukikuona tu naahirisha kabisa bora uwe hujaona tu!!
Mkuu utakufa njaaUmesema ukweli wa ulichoona mkuu, mimi ninapishana nazo sana. Sijui niache kazi niwe nashinda humu tuu..![]()
Wee nasubir hapa mie lol,yani naangalia sioni ya kuwatumia..Msichoke dakika sifuri




Mkuu utakufa njaa
Chapa kazi sanaaaaa alafu ukipumzika njoo uoshe macho selfike
Ni ukweli mtupu chief nimeshuhudia live bila chenga wala kupepesa macho ndugu mjumbe kajaaliwa




watu wachochezi humu lolUwiiiiiiiiiih sio kwa mshape huo, watu wanafaidi wallah, awwwwwh shoz umeumbika haswaaaah,





Uchochezi huo ujue!👈👈👈Mkuu utakufa njaa
Chapa kazi sanaaaaa alafu ukipumzika njoo uoshe macho selfike
Ni ukweli mtupu chief nimeshuhudia live bila chenga wala kupepesa macho ndugu mjumbe kajaaliwa
She can stand on her own. Blessings chiefFrom Matilda's school of cooking, here's my chef. Good morning, y'all.
View attachment 2131632
View attachment 2131633
View attachment 2131635

Nadhani tukubaliane sasa kumshauri mwenye jimbo akaimarishe chaga.
Awapi!Uwiiiiiiiiiih sio kwa mshape huo, watu wanafaidi wallah, awwwwwh shoz umeumbika haswaaaah,![]()
Nimetaka kusema "nakupa nusu ya utajiri wangu" nashtuka kumbe hata huo utajiri wenyewe sina.
Leo naona ni siku yako mkuu. Umezikusanya kweli leo dah! Hongera!Mama mchungaji si wa mchezo mchezo
Kuna watu Mungu alijua kuwapendelea, isingekuwa Uzee nilionao ningekukaribisha uje tugawane Pension yangu Mkuu 🙊🙊🙊