Kwani na wewe unataka kusema picha ni tofauti na ulivyo?
Umeona eeehhh!!!! Huo Ndio ukweli
Umeona eeehhh!!!! Huo Ndio ukweli
Ananifunfisha huyu Brian Spilner😂😂Umeanza lini upambe mjep???
Hongera kama ulipiga Banda la Geography, hili somo huonekana ni rahisi but huja na matokeo ya kushangaza sana.Niliwahi piga banda La Geog NECTA miaka hiyo
Hebu nione kama bado nakumbuka sasa hivi
1. Close up Oblique Photography( probably taken from the roof top of a low level building )
2. Since its cloudy, could be Noon or Afternoon hiven the color of the clouds.
3. economic activities 1. Trading/Corporate / Banking ( The blue tower) must be a lot of companies there. 2. Real Estate activities 3. Service ( Education , Hospitality etc 4. The market (a lot of business there) from wakala to mitumba etc
Imagine kuna hii kituBiashara za kimataifa kabisa zinafanyika hapa
View attachment 2131477
Umesema ukweli wa ulichoona mkuu, mimi ninapishana nazo sana. Sijui niache kazi niwe nashinda humu tuu..Ananifunfisha huyu Brian Spilner


lol Brian Spilner dizain yuko kimya sana humu....Ananifunfisha huyu Brian Spilner
Hahahaha...........inaonekana biashara ya Sanaa si haba inalipa 😂Hatari mkuu, anampunga sana
Hili ni bus gani??linaonekana ni lizur
Umesema ukweli wa ulichoona mkuu, mimi ninapishana nazo sana. Sijui niache kazi niwe nashinda humu tuu..![]()
Hi mahondawlol Brian Spilner dizain yuko kimya sana humu....
Hellow Brian.
Utawasimulia kina Valentina na cocastic
Nipo hapa kipenziiiih haya niwekeeeh shoz angu



Sasa si kazi na dawa bestii..Weeeehhh Kazi kwanza jf badae!!!


Nakudai ujue braiSasa si kazi na dawa bestii..
Mimi nazikosa sana dawa zako![]()
Yani wewe ndo umekua mzushi plus plusNakudai ujue brai
Wee nipo mwenyew hapa hapa,Nitamsimulia
Nipo kwa niaba yake tupia best





Sasa si kazi na dawa bestii..
Mimi nazikosa sana dawa zako![]()
Shos nipo hapa now jomoneeeeh,![]()
Hizo dawa ndo zinaboresha na kazi, maana zinanipa utulivu saanaaDawa zangu! Fanya Kazi kwanza sisi Tupo tu...
Wee shoz hebu weka hiyo uliyofuta bhana, akuuuuh naanza kulia sasa hivi, na nkianza kulia huwa simalizi mapema, niko emotional sana mie.lol Brian Spilner dizain yuko kimya sana humu....
Hellow Brian.
Utawasimulia kina Valentina na cocastic







