cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,180
Nawee weka yako baas lol.
Nawee weka yako baas lol.
Ndio. Tofauti kabisa.Kwani na wewe unataka kusema picha ni tofauti na ulivyo?
Duuuh nlikua bizze somewhere daaah,Umechelewa shos! nimetuma mara mbili leo!!



kurudia rudia mara tatu yote sio poa kabisa!!Wee shoz hebu weka hiyo uliyofuta bhana, akuuuuh naanza kulia sasa hivi, na nkianza kulia huwa simalizi mapema, niko emotional sana mie.![]()
🤣🤣🤣🤣 uwe mida mida unachungulia kama hivi...
Wala usijali, tutie nguvu tupate ya mahondaw halafu yangu ntakutelezeshea tartiibuuu... I mean selfie. Leo simu yangu injiandika sana.Nawee weka yako baas lol.
Ndio. Tofauti kabisa.





hivi nimecheka sana, ndo ile ukweli robo tyuuh, robo 3 fix fix fix, 






Nipo hapa mie
Sijitingishi, hata ning'atwe na mbu.
Lol kumbe!! pole yake asee !;hivi nimecheka sana, ndo ile ukweli robo tyuuh, robo 3 fix fix fix,
Ila hii JF sio ya kuweka mazoea sana na watu hadi kuonana hovyoo, wengi humu wachoraji, yule Naka kuna kitu kakipata hasa ile vibe ya valentine's km alijipua sehemu siyo, ataona JF chungu woiiiiiiiih![]()
Ondoa shaka, kwako wewe hata ukitaka na sura na vitambulisho vyote nawekaNataka selfie yako leo hapa.![]()



Lol kumbe!! pole yake asee !;




kuna mengi kaficha, ila seems yule kuna sehemu kawa disappointed, uwiiiiiiiih lol