Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Feb 23, 2022 #150,381 Pep said: Haupo mbali na ukweli ndugu yangu msaga kunguni. Tutaachana pale kifo kitakapotutenganisha. Click to expand... Upo Khaa
Pep said: Haupo mbali na ukweli ndugu yangu msaga kunguni. Tutaachana pale kifo kitakapotutenganisha. Click to expand... Upo Khaa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,944 Reaction score 831,470 Feb 23, 2022 Thread starter #150,382 Saint Anne said: Watu wa daslam nisaidieni.. Kibamba iko ni wapi? Click to expand... ukitoka Mbezi kituo kikubwa ni Kibamba njia ya kwenda Hospital ya Mloganzila
Saint Anne said: Watu wa daslam nisaidieni.. Kibamba iko ni wapi? Click to expand... ukitoka Mbezi kituo kikubwa ni Kibamba njia ya kwenda Hospital ya Mloganzila
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Feb 23, 2022 #150,383 Wigelekelo said: Tinsley Habari za wakati Huu Click to expand... Nzuri tu rafiki vipi wewe ?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,944 Reaction score 831,470 Feb 23, 2022 Thread starter #150,384
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,564 Reaction score 119,624 Feb 23, 2022 #150,385 Saint Anne said: Sijambo Nimekumiss Click to expand... Nipo sana mbona!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,944 Reaction score 831,470 Feb 23, 2022 Thread starter #150,386
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,387 Shimba Ya Buyenze said: Kamanda Pep tangu apigwe na kitu kizito siku ile akina Wigelekelo wakawa wanamcheka naona kapotea jumla. Watu wafuatilie kama yuko salama huko aliko Click to expand... 🤣🤣 Wige hana madhara mzee mwenzangu, Anasaga kunguni hapa tu kwenye keyboard ila behind huko ni mmoja kati ya jopo la watanzania linalotuombea Ubarikiwe sana mtumishi mwenzetu Wigelekelo
Shimba Ya Buyenze said: Kamanda Pep tangu apigwe na kitu kizito siku ile akina Wigelekelo wakawa wanamcheka naona kapotea jumla. Watu wafuatilie kama yuko salama huko aliko Click to expand... 🤣🤣 Wige hana madhara mzee mwenzangu, Anasaga kunguni hapa tu kwenye keyboard ila behind huko ni mmoja kati ya jopo la watanzania linalotuombea Ubarikiwe sana mtumishi mwenzetu Wigelekelo
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,388 Heaven Sent said: Kina Wige wavimba macho tu Baba Mtumishi anashikilia jimbo lake, na hana mpinzani Click to expand... Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇
Heaven Sent said: Kina Wige wavimba macho tu Baba Mtumishi anashikilia jimbo lake, na hana mpinzani Click to expand... Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,389 Saint Anne said: Hilo jina ulirudishe ulikolitoa🤣 Click to expand... Kwa misingi ipi? Saint Anne said: Naona umem miss,,,msalimie sana aisee😁 Click to expand... Atanisalimia kwenye outing yetu....tena ukituchangaya tunaigeuza kuwa 5 days vacation
Saint Anne said: Hilo jina ulirudishe ulikolitoa🤣 Click to expand... Kwa misingi ipi? Saint Anne said: Naona umem miss,,,msalimie sana aisee😁 Click to expand... Atanisalimia kwenye outing yetu....tena ukituchangaya tunaigeuza kuwa 5 days vacation
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Feb 23, 2022 #150,390 Tinsley said: Nzuri tu rafiki vipi wewe ? Click to expand... Mimi Nadunda vyema Namshukuru aliyepo juu
Tinsley said: Nzuri tu rafiki vipi wewe ? Click to expand... Mimi Nadunda vyema Namshukuru aliyepo juu
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,391 Heaven Sent said: Ile picha yangu ulimfikishia kweli? Click to expand... Nimeipokea kwa mikono macho mawili. Ntaanza kukusalimia mara 4, minimum!
Heaven Sent said: Ile picha yangu ulimfikishia kweli? Click to expand... Nimeipokea kwa mikono macho mawili. Ntaanza kukusalimia mara 4, minimum!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Feb 23, 2022 #150,392 Wigelekelo said: Mimi Nadunda vyema Namshukuru aliyepo juu Click to expand... Amen Mungu ni mwema siku zote
Wigelekelo said: Mimi Nadunda vyema Namshukuru aliyepo juu Click to expand... Amen Mungu ni mwema siku zote
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 23, 2022 #150,393 Pep said: Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇 Click to expand... Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee. Aisee karibu tena shem lake, kwa kweli nimepata raha kukuona hapa. Achana na ule ujumbe, una tabia ya kufisha. 🤣🤣
Pep said: Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇 Click to expand... Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee. Aisee karibu tena shem lake, kwa kweli nimepata raha kukuona hapa. Achana na ule ujumbe, una tabia ya kufisha. 🤣🤣
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 23, 2022 #150,394 Pep said: Nimeipokea kwa mikono macho mawili. Ntaanza kukusalimia mara 4, minimum! Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣
Pep said: Nimeipokea kwa mikono macho mawili. Ntaanza kukusalimia mara 4, minimum! Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 23, 2022 #150,395 Pep said: Kwa misingi ipi? Atanisalimia kwenye outing yetu....tena ukituchangaya tunaigeuza kuwa 5 days vacation Click to expand... Can I get an Amen?
Pep said: Kwa misingi ipi? Atanisalimia kwenye outing yetu....tena ukituchangaya tunaigeuza kuwa 5 days vacation Click to expand... Can I get an Amen?
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,396 Saint Anne said: Umeupiga mwingi😂😂😂😂😂 Hebu taja sifa zao🤣🤣🤣 Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini. Ila ni wachapakazi Click to expand... Daah, yaani mtu mmoja huyo huyo ni mchawi, mlevi, sio mjanja, mshamba halafu mfupi... Hakunaga, hawa ni watu wako umewaunda mwenyewe 🤣🤣🤣
Saint Anne said: Umeupiga mwingi😂😂😂😂😂 Hebu taja sifa zao🤣🤣🤣 Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini. Ila ni wachapakazi Click to expand... Daah, yaani mtu mmoja huyo huyo ni mchawi, mlevi, sio mjanja, mshamba halafu mfupi... Hakunaga, hawa ni watu wako umewaunda mwenyewe 🤣🤣🤣
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Feb 23, 2022 #150,397 Pep said: Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi Click to expand...
Pep said: Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako. Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi. Mapema tu baada ya chai akafinyangwa! Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi Click to expand...
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Feb 23, 2022 #150,398 Tinsley said: Amen Mungu ni mwema siku zote Click to expand... Na Wakati wote Mungu ni mwema
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,399 Saint Anne said: Hbd Komando wetu Inabidi utufundishe sasa mazoezi,angalau nijue kurusha ngumi hata moja ...siku Pep akizingua namtandika nayo. Click to expand... Why on earth ntamzingua the most amazing woman in the planet?
Saint Anne said: Hbd Komando wetu Inabidi utufundishe sasa mazoezi,angalau nijue kurusha ngumi hata moja ...siku Pep akizingua namtandika nayo. Click to expand... Why on earth ntamzingua the most amazing woman in the planet?
Pep JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,338 Reaction score 5,490 Feb 23, 2022 #150,400 Saint Anne said: Kwanza naanza kumtandika chelsea yake leo,mimi liver mbabe😁 Click to expand... Carabao cup final....tutawalaza na viatu
Saint Anne said: Kwanza naanza kumtandika chelsea yake leo,mimi liver mbabe😁 Click to expand... Carabao cup final....tutawalaza na viatu