Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Ng'wagūkū bageshi. Natumaini hujambo na unaendelea vyema. Hicho chakula nimekuonea wivu aisee. Bagishege koi

Ng'wagūkū bageshi. Natumaini hujambo na unaendelea vyema. Hicho chakula nimekuonea wivu aisee. Bagishege koi

Mazoea tu mwaya.....Unashiba? Mwee mwee ndiyo maana una kamwili katamu
Kuna tofauti katika urefu wa irabu:Busisi ni ikwaju halafu busisi tena ni sisimizi
Kama unajua lugha nyingine ya Kibantu ni rahisi sana maana maneno mengi ni yale yale tu. Labda kama ni wa kishua umezaliwa na kukulia mijiniNatamani sana kukielewa kisukuma lakini ndiyo kimeshanipita.

Haha wasukuma mnapenda sana majina yanayoanzia na "Ma" mfano Mabeyo, Mabula, Mabele, Masese, Masanja, Maranja nk (wote wenye majina hayo nimesoma nao na wengine walikuwa ni waalimu wangu)! Kuna siku niliona comment yako ulisema Busisi maana yake Ukwaju nikakuambia Mwanza kuna sehemu inaitwa Busisi nalipendaga sana hilo jina ila sikujua kama maana yake ni Ukwaju (Mwanza kuna maeneo mengi yanaanzia na "Bu" mfano Busisi, Buhongwa, Buzuruga, Bugarika, Buswelu, Bugando nk)!
Neno nililolikariri ni marehemu bibi akilewa wanzuki washua wakimzingua anawaambia lushindo lwako.Kama unajua lugha nyingine ya Kibantu ni rahisi sana maana maneno mengi ni yale yale tu. Labda kama ni wa kishua umezaliwa na kukulia mijini![]()
Tusi baya sana. Bibi yako, bila shaka, alikuwa mkorofi sana. Marehemu bibi yangu alikuwa anapenda sana "magigo ga noko" kila tukimkorofisha. Ni afadhali mara mia kuliko "lushindo lwako" japo yote ni matusiNeno nililolikariri ni marehemu bibi akilewa wanzuki washua wakimzingua anawaambia lushindo lwako.



Alikuwa na tatizo la pombe,ni kweli alikuwa mkorofi.Tusi baya sana. Bibi yako, bila shaka, alikuwa mkorofi sana. Marehemu bibi yangu alikuwa anapenda sana "magigo ga noko" kila tukimkorofisha. Ni afadhali mara mia kuliko "lushindo lwako" japo yote ni matusi![]()
Ngoja night kali bibie, wakishapungua.Kashaija72 nasubiria Picha
Mazoea tu mwaya.....
Mmeshaambiwa anafanya delivery kilichopo wewe agiza tu za buku 30 unamshare GPS coordinates anafikisha mlangoni, enthen unamkirimu maji ya kunywa
Yeah naomba nitumie! Halafu kuna ile pdf moja uliwahi nitumia ni kamusi ya maneno ya kinyakyusa na tafsiri zake kwa kiswahili kama unayo naomba nitumie tena maana niliipotezaga!Ndiyo. Na majina yote haya yana maana yake. Kuna tasnifu ya shahada ya ubobezi (Masters) katika Isimu kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania inaelezea majina ya Kisukuma kisemantiki na kietimolojia naweza kukutumia ukitaka.
Hata mwaka senene wanakaa. Inategemea unawatunzaje. Senene wanakaa mda mrefu kwenye mazingira ya ukavu. Kwa mfano ukinunua ndoo nzima basi unakuwa unawaanika juani angalau Mara moja kwa mwezi.Ni muda mrefu mkuu, hata wiki 3 or 4
Unashiba hapo Simara??View attachment 2125128
Late Lunch
Tule tu nkamuView attachment 2125128
Late Lunch
Kweli kabisa!..tupia picha nyingine ya mkono nienjoyKweli??![]()
CONTROLA Umesikia maneno hayoHata mwaka senene wanakaa. Inategemea unawatunzaje. Senene wanakaa mda mrefu kwenye mazingira ya ukavu. Kwa mfano ukinunua ndoo nzima basi unakuwa unawaanika juani angalau Mara moja kwa mwezi.
Kama una jiko la Kuni basi unawafunga kwa kuning'iniza pale Moshi unapopita watakaa miaka. Amin amin nakwambia senene wa Moshi ni watamu kuliko kitu chochote namaanisha chochote.