T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,087
Kwema mkuuHivi ndio vyakula vinavyojenga mwili sasa
Kwema mkuuHivi ndio vyakula vinavyojenga mwili sasa
Ooh ni kati ya majina ya ukoo ninayoyapendaga sana halafu nilijuaga ni wasukuma! Ni wabena, wapangwa, wakinga au?Njombe mkuu
Wabena OG toka Kijiji Cha muhaji njombe..Kama hujaolewa nikupe huyu bwanamdgo mwenye hizi sheli akuoe he is 29 yrsOoh ni kati ya majina ya ukoo ninayoyapendaga sana halafu nilijuaga ni wasukuma! Ni wabena, wapangwa, wakinga au?
jokingHaha nimefadhaika sana kusikia ni watu wa Njombe, maana sijawahi mkubali mtu yeyote yule ambaye kabila lake ni la kutokea Njombe, nilijua ni Wasukuma! By the way hiko kijiji kipo wilaya gani Wanging'ombe au?Wabena OG toka Kijiji Cha muhaji njombe..Kama hujaolewa nikupe huyu bwanamdgo mwenye hizi sheli akuoe he is 29 yrsjoking
Labda umechanganya na "Mabina". Mabina kwa Kisukuma ni mtoto wa kiume aliyezaliwa wakati wa majira ya michezo ya kienyeji (mbina) ya Bagika na Bagalū. Kama ni wa kike anaweza kuitwa Būyegi (Furaha/Faraja)...Ooh ni kati ya majina ya ukoo ninayoyapendaga sana halafu nilijuaga ni wasukuma! Ni wabena, wapangwa, wakinga au?
Khantwe njoo. Kuna mtu anakubipu hukuHaha nimefadhaika sana kusikia ni watu wa Njombe, maana sijawahi mkubali mtu yeyote yule ambaye kabila lake ni la kutokea Njombe, nilijua ni Wasukuma! By the way hiko kijiji kipo wilaya gani Wanging'ombe au?



Jaribu mpaka ikubali Mama Mchungaji#Sundaying#
Ayaa picha imegoma


Wilaya ya wangingombe kilomita chache toka makambako kwanini huwakubali aisee walikufanya nini ila ni wapambanaji kutafuta hela hawana show off ila akaunt zimeshibaHaha nimefadhaika sana kusikia ni watu wa Njombe, maana sijawahi mkubali mtu yeyote yule ambaye kabila lake ni la kutokea Njombe, nilijua ni Wasukuma! By the way hiko kijiji kipo wilaya gani Wanging'ombe au?
Haha wasukuma mnapenda sana majina yanayoanzia na "Ma" mfano Mabeyo, Mabula, Mabele, Masese, Masanja, Maranja nk (wote wenye majina hayo nimesoma nao na wengine walikuwa ni waalimu wangu)! Kuna siku niliona comment yako ulisema Busisi maana yake Ukwaju nikakuambia Mwanza kuna sehemu inaitwa Busisi nalipendaga sana hilo jina ila sikujua kama maana yake ni Ukwaju (Mwanza kuna maeneo mengi yanaanzia na "Bu" mfano Busisi, Buhongwa, Buzuruga, Bugarika, Buswelu, Bugando nk)!Labda umechanganya na "Mabina". Mabina kwa Kisukuma ni mtoto wa kiume aliyezaliwa wakati wa majira ya michezo ya kienyeji (mbina) ya Bagika na Bagalū. Kama ni wa kike anaweza kuitwa Būyegi (Furaha/Faraja)...
Mimi nazishukuru tu maana nilikuwa mvivu kulahizo Dawa kiboko,kama ule mlima na haujashiba Hawa madaktari wawe wanaangalia
na dawa wanazoshauri watu tutumie, na wajue kuwa Milo yetu ni mi 3 wasituharibie ratiba
Haha naona umeamua tu kunichonganisha na huyo Mkinga sijui Mbena! Mimi kutokuwakubali haimaanishi kwamba Wao siyo bora kwa sababu hata sisi Wanyakyusa kuna watu hawatukubali kabisa lakini haimaamishi kuwa sisi siyo bora!
Natamani sana kukielewa kisukuma lakini ndiyo kimeshanipita.Labda umechanganya na "Mabina". Mabina kwa Kisukuma ni mtoto wa kiume aliyezaliwa wakati wa majira ya michezo ya kienyeji (mbina) ya Bagika na Bagalū. Kama ni wa kike anaweza kuitwa Būyegi (Furaha/Faraja)...
Busisi ni ikwaju halafu busisi tena ni sisimiziHaha wasukuma mnapenda sana majina yanayoanzia na "Ma" mfano Mabeyo, Mabula, Mabele, Masese, Masanja, Maranja nk (wote wenye majina hayo nimesoma nao na wengine walikuwa ni waalimu wangu)! Kuna siku niliona comment yako ulisema Busisi maana yake Ukwaju nikakuambia Mwanza kuna sehemu inaitwa Busisi nalipendaga sana hilo jina ila sikujua kama maana yake ni Ukwaju (Mwanza kuna maeneo mengi yanaanzia na "Bu" mfano Busisi, Buhongwa, Buzuruga, Bugarika, Buswelu, Bugando nk)!
Haha najua ni wapambanaji ila nahisi njia zao za upambanaji (wengi wao siyo wote) ndiyo zinanifanya nisiwakubali iykyk! Hata kule kwetu Mbeya hasa Mbeya mjini matajiri wengi ni wakinga ila wengi wao tunajua njia wanazozitumia kupata utajiri wao (sisi wengine siyo waumini wa "the end justifies the means")!Wilaya ya wangingombe kilomita chache toka makambako kwanini huwakubali aisee walikufanya nini ila ni wapambanaji kutafuta hela hawana show off ila akaunt zimeshiba
Ni kweli mkuu wengi janja janja nyingiHaha najua ni wapambanaji ila nahisi njia zao za upambanaji (wengi wao siyo wote) ndiyo zinanifanya nisiwakubali iykyk! Hata kule kwetu Mbeya hasa Mbeya mjini matajiri wengi ni wakinga ila wengi wao tunajua njia wanazozitumia kupata utajiri wao (sisi wengine siyo waumini wa "the end justifies the means")!