Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,309
Nawe pia ukuwe na usiku mwema rafiki!Pole sana
Ulale salama
Nawe pia ukuwe na usiku mwema rafiki!Pole sana
Ulale salama
AsanteNawe pia ukuwe na usiku mwema rafiki!
Mkuu ndo unanisagia kunguni kabisa yan..
Hamna neno mkuuMkuu mimi naomba niazime hicho cha afisa usalama ukikimaliza![]()
hahahahaWee unajiweka wapi? Nawewe jilipue
Iliisha vizuriwiki endi yako imeishaje?
Hahaaaaaa kaangalie mguu wa punda au farasiUnampa tua gaidi bigG kwanza achill....
Ukiona wanazidi kutoa connection unawaambia wazazi basi ngoja niwasimulie tukio lililonotokea wakati nipo darasa la pili B.....
Unawasimulia hadithi yeyote ya akaja sembamba ila kama wakiwa wanapenda kachumbari kama hao kina Manka hapo, wala hawatakusikiliza...
Ndo kwanza watamuomba tua gaidi darubini ili waone connection kwa ukaribu zaidi....
Ila.....
Nimetamani kuvunja side mirror ya hiyo gari na kunyanyua mkia wa Simba....!
Nilikuwa nataka nione mguu wake ukojeukoje....![]()
Kwa kweli mnatunyasanyasa sie tunaolala saa nne. Sawa tu.Hahahaaa..kwa leo tuishie hapo hii ya leo aibu naona mimii!!