Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

2EB9B14E-2F0A-4E3D-9675-AE780C0F3345.jpeg
 
Hao wenye kutoa elimu wote ni matua gaidi????

Maana wanamuelewa Simba vilivyo....


Kumbe mbugani hakufai kwenda na wazazi kwa tukio kama hilo wote mnajikuta mnaangalia connection ya Simba live bila king’amuzi....🤪.
Na simba jike ana jigeuza geuza anasubiri kingine... na nyie wapenzi watazamaji mnatulia kucheki connection live 😂😂😂.. ukute upo na wazazi na tuwa gaidi anakomaa kuwapa maelekezo
 
Na simba jike ana jigeuza geuza anasubiri kingine... na nyie wapenzi watazamaji mnatulia kucheki connection live 😂😂😂.. ukute upo na wazazi na tuwa gaidi anakomaa kuwapa maelekezo

Unampa tua gaidi bigG kwanza achill....🤪

Ukiona wanazidi kutoa connection unawaambia wazazi basi ngoja niwasimulie tukio lililonotokea wakati nipo darasa la pili B.....
Unawasimulia hadithi yeyote ya akaja sembamba ila kama wakiwa wanapenda kachumbari kama hao kina Manka hapo, wala hawatakusikiliza...

Ndo kwanza watamuomba tua gaidi darubini ili waone connection kwa ukaribu zaidi....🙈

Ila.....
Nimetamani kuvunja side mirror ya hiyo gari na kunyanyua mkia wa Simba....!

Nilikuwa nataka nione mguu wake ukojeukoje....😅🤓🤓🤨🤨🤨
 
Back
Top Bottom