Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,310
Thubutuuuu!!! Tena kitengo makini sana dadeki....safi sana
Nitoe wapi kitengo mie mgagagigikoko![]()
Nitoe wapi kitengo mie mgagagigikoko![]()
Njaa tuu zinanisumbuaThubutuuuu!!! Tena kitengo makini sana dadeki....safi sana
Wenye njaa utakua wewe mkuu acha kufuru basi!Njaa tuu zinanisumbua
Tukiwa nadhifu hamzioni, ila tunazo sometimeWenye njaa utakua wewe mkuu acha kufuru basi!
Awapi!!Tukiwa nadhifu hamzioni, ila tunazo sometime
Kweli tena, unadhifu unaficha umasikiniAwapi!!
Wewe wewe wewe wewe wewe Mungu anakuona ujue!!Kweli tena, unadhifu unaficha umasikini
Tunamshukuru Mungu riziki ndogo ndogo tunapata. Hatulali njaaWewe wewe wewe wewe wewe Mungu anakuona ujue!!
Amen.. hallelujah!! Hongera sana mkuu ni suala la kumshukuru sanaTunamshukuru Mungu riziki ndogo ndogo tunapata. Hatulali njaa
Amina mkuu, ila usije ukanipigisha story hapa mpaka ukasinzia. Ahadi deni mkuu, ntakutokea mpaka ndotoniAmen.. hallelujah!! Hongera sana mkuu ni suala la kumshukuru sana



Ndio Nilitaka kusema nasinzia hapa🙄🙄Amina mkuu, ila usije ukanipigisha story hapa mpaka ukasinzia. Ahadi deni mkuu, ntakutokea mpaka ndotoni![]()
Unaona sasa..Eh!!
Ndio Nilitaka kusema nasinzia hapa![]()
Shukrani Sana mkuu usiku mwemaUnaona sasa..
Ungesumbuka sana na majinamizi leo mkuu
Shukrani Sana mkuu usiku mwema




Aseeeeehhh
Dawa ya deni kulipa. Umesahau nakudai
Usichokee..Aseeeeehhh
Tufanye badae mkuu!Usichokee..
Anyway, if you say so.Tufanye badae mkuu!
🙏🙏🙏🙏🙏 Shukrani.. nilale sasa make Nina 4 hours tu nahisi kazini nitasinzia mpaka!!Anyway, if you say so.
Pole sanaShukrani.. nilale sasa make Nina 4 hours tu nahisi kazini nitasinzia mpaka!!