Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wachina wanamwita "the great protector" kwenye Shang-Chi and the Legend of the ten rings.
JPEG_20220130_141221_6190626458420240415.jpg
 
Mamaaa pastor Heaven Sent na mdogo wangu mpenzi Saint Anne.. Khantwe ni swali la usiku ... Why shetani alienda ku mjaribu Yesu Kristo baada ya mfungo wa siku 40 ?
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.


Na nini kilifanya Yesu Kristo ashinde na shetani akamuacha kwa mda ..
Nadhani jaribu haliwi jaribu hadi limekufikisha njia panda.

"Mwisho akaona njaa"

Shetani huwa anatafuta kukutarget mahala ambapo lazima utaingia njiapanda.
Mara baada ya Yesu kumaliza mfungo na alipoona njaa ndipo shetani akaona ni muda mzuri wa yeye kumjaribu Kristo.


Alishinda kwa sababu aligundua mitego ya shetani,
Pia alijaza Neno la Mungu kwake,
Pia alinyenyekea...angekuwa mwingine basi angejaa na kujiinua maana tayari ameambiwa ni mwana wa Mungu ..basi angesema kweli mimi mwana wa Mungu mbona kazi ndogo hii.
 
Back
Top Bottom