Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ndio nishasemewaMwache aseme mwenyewe..
![]()
Lakini utanifundisha
Wanaanzaje na wanafanyaje



Ndio nishasemewaMwache aseme mwenyewe..
![]()



Khaa kunitaga?Jibu bwama weee.. nilipitiwa kukutaga bwana

basi mpendwa yaishe...sikujua kama ana 76 yrs kumbe kweli mzee




jaman ko kumbe ni muongo, sasa ile siku alikazana mno na akasema ile birthday yake ilopita last December ndo anakamilisha 76yrs, woiiiiiiiih🙄🙄🙄🙄🙄Khaa kunitaga?![]()
kumbe kanipita miaka sita tu 🧓🧓jaman ko kumbe ni muongo, sasa ile siku alikazana mno na akasema ile birthday yake ilopita last December ndo anakamilisha 76yrs, woiiiiiiiih
Nweei post selfie yako bas.
EehMy love for is pure real
I love to love you ....![]()


jaman ko kumbe ni muongo, sasa ile siku alikazana mno na akasema ile birthday yake ilopita last December ndo anakamilisha 76yrs, woiiiiiiiih
Nweei post selfie yako bas.


weee sijasema nimuongo nimesema mimi ndio sikujua we binti unanitafutia balaa. Selfie nimeshapost sana hapa subiri siku nyingine nikifurahiUtachapwa uchakae, watoto wadogo hakuna kuolewa, ni kanani hako kashem? Ntakadunda pia sitaki kuharibiwa mdogo angu😂😂 mimi dada yako mmh bado😬cc afu sijakutag mbna, nkuoneshe shem wako, mipango ya ndoa iko on
, wee unakwama wapiii?
Yaaah.Inawezekana
Mamaaa pastor Heaven Sent na mdogo wangu mpenzi Saint Anne.. Khantwe ni swali la usiku... Why shetani alienda ku mjaribu Yesu Kristo baada ya mfungo wa siku 40 ?
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
Na nini kilifanya Yesu Kristo ashinde na shetani akamuacha kwa mda..
@Heaven SentI will make room for 2;You and i to live
You are all that matters
Oooh ooh You are all that matters
I will put You in front
In front of my....![]()



weee sijasema nimuongo nimesema mimi ndio sikujua we binti unanitafutia balaa. Selfie nimeshapost sana hapa subiri siku nyingine nikifurahi




hapana itakua hana huyo umri bhana. Utachapwa uchakae, watoto wadogo hakuna kuolewa, ni kanani hako kashem? Ntakadunda pia sitaki kuharibiwa mdogo angumimi dada yako mmh bado
![]()




wee zubaa shauri yako lol, mue nakuacha home hivyo. 



Haya nitakukuta acha nikalale..Nikitulia, ntaandika kagazeti