Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Snap it.Show it
IMG_20220109_090647_424.jpg
 
Nadhani jaribu haliwi jaribu hadi limekufikisha njia panda.

"Mwisho akaona njaa"

Shetani huwa anatafuta kukutarget mahala ambapo lazima utaingia njiapanda.
Mara baada ya Yesu kumaliza mfungo na alipoona njaa ndipo shetani akaona ni muda mzuri wa yeye kumjaribu Kristo.


Alishinda kwa sababu aligundua mitego ya shetani,
Pia alijaza Neno la Mungu kwake,
Pia alinyenyekea...angekuwa mwingine basi angejaa na kujiinua maana tayari ameambiwa ni mwana wa Mungu ..basi angesema kweli mimi mwana wa Mungu mbona kazi ndogo hii.
Luka 4:4
Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu.

Luka 4:8
Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Luka 4:12
Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.

Umejibu vyema kabisa, na mie niongezee kidogo hapo. Angalia sehemu ambazo nime zi bold.

Kipindi yesu anamjibu shetani verse 4 and 8 ilikuwa natumia Logos kumjibu shetani, na ndio maana shetani aliendea kumfatilia.

Ukija verse 12, Yesu antumia Rhema kumjibu shetani, na shetani akauona moto wake.

Hapo unaweza pata maarifa zaidi ya kujifunza kati ya Logos na Rhema.. kwa ufupi utaona shetani hakuogopa upako wa Yesu wa siku 40 jangwani wala nini, shetani kilicho mtoa mbio kwa Yesu ni Rhema ambayo ni verse 12..
 
Back
Top Bottom