Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
nipo manzese midizini kitaani kwanguutafikiri upo Manzese kweliMtu mkubwa wewe...!
nipo manzese midizini kitaani kwanguutafikiri upo Manzese kweliMtu mkubwa wewe...!
hahahahaha.mpuuzi km pozi moja kaliSnap it.Show it
View attachment 2101151
Luka 4:4Nadhani jaribu haliwi jaribu hadi limekufikisha njia panda.
"Mwisho akaona njaa"
Shetani huwa anatafuta kukutarget mahala ambapo lazima utaingia njiapanda.
Mara baada ya Yesu kumaliza mfungo na alipoona njaa ndipo shetani akaona ni muda mzuri wa yeye kumjaribu Kristo.
Alishinda kwa sababu aligundua mitego ya shetani,
Pia alijaza Neno la Mungu kwake,
Pia alinyenyekea...angekuwa mwingine basi angejaa na kujiinua maana tayari ameambiwa ni mwana wa Mungu ..basi angesema kweli mimi mwana wa Mungu mbona kazi ndogo hii.
niaje mkuu
Mweehh!umenipiga na kitu kizito kwenye ugoko!!





Mkuu, mambo mazuri haya. Basi uweke hapo na kasura kidogo.
Mimi mzima kabisaa shukrani kwa Mwenye Ulimwengu wake. Nilimiss mwandiko wako na kaselfie ka Leo jumapili wakati unatoka IbadaniSafi
Mzima?
Daaah unatega mitego yako. Je GJ yupo tayari kuporomoka?Setting plans for tomorrow View attachment 2101160
kwa menu hy.lzm awe mzuri SimaraMkuu, mambo mazuri haya. Basi uweke hapo na kasura kidogo.
kwema kamandaniaje mkuu
umeona atakuwa mlaini amenona.. wanafaidi watukwa menu hy.lzm awe mzuri Simara