Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunazungumzia wanaume hapa wanyaki wanaingiaje? Kumpa tu bichwa mtu fulani...mxiiiew
jaman dear ucnambie una crush mnyaki? Hapan wako vizuri mno, hata mie nilikua nabisha mwanzoni, nkaja kupigwa na kitu kizito mtu nae mkubali na kumuhusudu kumbe ni mnyaki, imebidi nikubali matokeo.

Yupo na anapita hapa kusoma, woiiiiiiiih.
 
Mamaaa pastor Heaven Sent na mdogo wangu mpenzi Saint Anne.. Khantwe ni swali la usiku 😊😊😊... Why shetani alienda ku mjaribu Yesu Kristo baada ya mfungo wa siku 40 ?
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.


Na nini kilifanya Yesu Kristo ashinde na shetani akamuacha kwa mda 😊😊😊😊..
 
Mamaaa pastor Heaven Sent na mdogo wangu mpenzi Saint Anne.. ni swali la usiku ... Why shetani alienda ku mjaribu Yesu Kristo baada ya mfungo wa siku 40 ?
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.

Na nini kilifanya Yesu Kristo ashinde na shetani akamuacha kwa mda ..
Ningetoa mawazo yangu sema ndio vile sijaulizwa mimi
 
Back
Top Bottom