CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Ya kuingilia kwa mkuu wa wilaya,, ya kutia signature na ya kutokea c ndioNdyoooooh![]()


Ya kuingilia kwa mkuu wa wilaya,, ya kutia signature na ya kutokea c ndioNdyoooooh![]()


Tunazungumzia wanaume hapa wanyaki wanaingiaje? Kumpa tu bichwa mtu fulani...mxiiiew



jaman dear ucnambie una crush mnyaki? Hapan wako vizuri mno, hata mie nilikua nabisha mwanzoni, nkaja kupigwa na kitu kizito mtu nae mkubali na kumuhusudu kumbe ni mnyaki, imebidi nikubali matokeo. 


Dear 76 yrs wee unahisi atakuaje? Hebu nambie kwanimzee sana?? Jidanganye





Nakupostia hapa,Nipostieeee
Ndiyoooooh sweetheartYa kuingilia kwa mkuu wa wilaya,, ya kutia signature na ya kutokea c ndio![]()


jaman dear ucnambie una crush mnyaki? Hapan wako vizuri mno, hata mie nilikua nabisha mwanzoni, nkaja kupigwa na kitu kizito mtu nae mkubali na kumuhusudu kumbe ni mnyaki, imebidi nikubali matokeo.
Yupo na anapita hapa kusoma, woiiiiiiiih.


wanyaki ni watani zangu sinaga tatizo nao kiukweliNisaidie aseeBado lile guu weee.. unaweza acha kifushi cha mwezi![]()
Yaap, sauti kama inavyonza kituu

msinitafutie kesi jamani
Dear 76 yrs wee unahisi atakuaje? Hebu nambie kwani![]()



basi mpendwa yaishe...sikujua kama ana 76 yrs kumbe kweli mzeeYaap, sauti kama inavyonza kituu

🙄🙄.. utafaidi na kujidai eeeh!Nisaidie asee
Huu udomo zege
Ni shida
Ningetoa mawazo yangu sema ndio vile sijaulizwa mimiMamaaa pastor Heaven Sent na mdogo wangu mpenzi Saint Anne.. ni swali la usiku... Why shetani alienda ku mjaribu Yesu Kristo baada ya mfungo wa siku 40 ?
Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
Na nini kilifanya Yesu Kristo ashinde na shetani akamuacha kwa mda..
Au nawee n mtani wangu?wanyaki ni watani zangu sinaga tatizo nao kiukweli


maan wanyaki ni watani zangu pia."Sina maana hiyo"
Jibu bwama weee.. nilipitiwa kukutaga bwanaNingetoa mawazo yangu sema ndio vile sijaulizwa mimi