Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

1. Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu,Nalimtafuta, nisimpate.

2. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, katika njia zake na viwanjani, nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate.

3. Walinzi wazungukao mjini waliniona;Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?

4. Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; nikamshika, nisimwache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani mwake aliyenizaa.

Haya nitakukuta acha nikalale..

Nijulishe, ee mpendwa wa nafsi yangu, Ni wapi utakapolisha kundi lako, Ni wapi utakapolilaza adhuhuri. Kwa nini niwe kama aliyefungiwa kidoto, Karibu na makundi ya wenzako?

Usipojua, wewe uliye mzuri katika wanawake, Shika njia uzifuate nyayo za kondoo, Na kuwalisha wana-mbuzi wako Karibu na hema za wachungaji.

Acha nijipumzishe na mpenzi wa nafsi yanguu
 
1. Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu,Nalimtafuta, nisimpate.

2. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, katika njia zake na viwanjani, nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate.

3. Walinzi wazungukao mjini waliniona;Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?

4. Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; nikamshika, nisimwache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani mwake aliyenizaa.

Kubusu na anibusu kwa kinywa chake. Maana pambaja zako zapita divai;
 
Usiku utakapo kwisha
IMG_20220125_230626.jpg
 
Back
Top Bottom