Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Punguza dhambiHuyu mdogo wako kachanganyikiwa, wa kuwa mashemeji zake tupo then anakutaka mwenyewe!!
Mpe laana!!!
![]()
Uende mbinguni
Punguza dhambiHuyu mdogo wako kachanganyikiwa, wa kuwa mashemeji zake tupo then anakutaka mwenyewe!!
Mpe laana!!!
![]()
Za kumiliki blaka biute mwenye amirikan figaKongole za nini tena jamani!?
Hahahaha wahuniUtamgongea meneja,utamuachia
Usije ukaiacha kwa pump attendants tafadhali sana,sitaipata.
Shem dada anakuaga kauzu...kuna dalili ya mtu kuoga makofi katikati ya harusiHazinihusu kivipi wakati huyo ni babe wangu
WachaaKwenye ndoa siyo hovyo tu kama wanyama![]()

hahahahahaShem mtumishi nipe kongole za kumiliki pisi kali yenye kiuno chake 😂
Wee mimi dada yako hivo sikufai kamwe unapigaje mechi na dada!! Laana hizo ! Wewe wanaokufaa kina cocastic kina mtakatifu kina dipa![]()







akaaaaah huyo n mdogo angu wala hanifai na simfai, yeye size zake 1St yr, sasa mie naekaribia kuvaa joho soon hapo tyuuh, ataweza wapi?Ananiona mimi ni mume mwema.🤣🤣🤣🤣🤣
Unamuonaje lakini shem wako?
Mabinti wamejaa kibao mdogo wangu ukiwa nao itapendeza zaidi kuanzia kwenye age difference...hata tofauti za miili kati yako na wao zinamatch.. sasa kijana mdogo ukutane na kijeba ngozi ishajikunja maziwa yashalala tumbo lishashuka afu full michirizi kutokana na uzazi aaawwwwuu haikuji kabisa pia you won't enjoy! Kijana una Nguvu zako unatakiwa tubinti sio mizee mizima!!











akaaaah sitaki mie.! Unatakiwa uinjoi bana especially ukikutana na ambavyo havijawa na mambo mengi








hahahahahaWee mimi dada yako hivo sikufai kamwe unapigaje mechi na dada!! Laana hizo ! Wewe wanaokufaa kina cocastic kina mtakatifu kina dipa 🙇😳
Siku hizi kuna majeshi mengi
Teh wapi hiyo na ulikuwajekuwaje
Usiniambie na mbwembwe zote zile





Halafu nikisemaga una special seat Mbinguni watu huwa wana doubtSanaaa. Yaani mahari tunatoa sisi kama wahindi
Aahh sasa kamtu kenyewe hata mkononi hakajai halafu ndiyo wakapeleke kwenye ukomandoo si watakaua jamani na hivi kamegoma kunenepa![]()





ila jeshini sio mchezo, miezi 3 kwangu ilikua mwaka woiiiiiiiih. Wee muongo uko maeneo yako ya kujidai, nakuja hapo hapo nipo njian hivyoo.Niko maporini huku Mabwe Pande mdogo wangu![]()
Mambo mremboakaaaah sitaki mie.

kwa data nilizokisanya,, hypothesis yangu ya kuwa wewe ni mali safi sio null,,, unaonaje tumbariki anangisye na couple moja matata
