Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
havyo vingine si siku moja tuu jamanii, unachukua na BMW lako jipyaaa 😒😒😒Mkuu nayatamani kweli ila mmh isijekua madesa na vitu vingine 😂
havyo vingine si siku moja tuu jamanii, unachukua na BMW lako jipyaaa 😒😒😒Mkuu nayatamani kweli ila mmh isijekua madesa na vitu vingine 😂
Atakupa salamu zanguWe njoo tu
Sitaki mimi baki na Bima lako😂havyo vingine si siku moja tuu jamanii, unachukua na BMW lako jipyaaa 😒😒😒
Duuuuuh.mchukulie babaaa pastor
View attachment 2095515
khaaaa nimekosaa, nije kwako basi 😒😒Sitaki mimi baki na Bima lako😂
Abee mdogo angu mwanafunzi wa last yearhabari ya kitabu?



cc afu sijakutag mbna, nkuoneshe shem wako, mipango ya ndoa iko on 

, wee unakwama wapiii?HajanipaAtakupa salamu zangu
Nikupostie mnyaki mwenye sifa tajwa na pendwa? Hakika uko sahihi wanyaki wapo vizuri mnooooh.Special seats mbinguni





Tunazungumzia wanaume hapa wanyaki wanaingiaje? Kumpa tu bichwa mtu fulani...mxiiiewNikupostie mnyaki mwenye sifa tajwa na pendwa? Hakika uko sahihi wanyaki wapo vizuri mnooooh.![]()




wee Dear usinambie? Yule mzee sana hawezi kuwa hivyo hata. wee Dear usinambie? Yule mzee sana hawezi kuwa hivyo hata.
Afu nawee selfika nikuone bhas jaman, awwww


mzee sana?? JidanganyeNipostieeeeNikupostie mnyaki mwenye sifa tajwa na pendwa? Hakika uko sahihi wanyaki wapo vizuri mnooooh.![]()
HeheheheTunazungumzia wanaume hapa wanyaki wanaingiaje? Kumpa tu bichwa mtu fulani...mxiiiew