Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Naomba nikuhakikishie kuwa huu ni Moto wa gesi nipress button tu..hakuna wa kuuzima.Yupo kaka yangu HM
Atanitetea🙈
Achana kwanza na hii habari ya kaka yako.
Vipi mheshimiwa shemeji ananendeleaje?




