Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Awwww
Hizo data ulikusanya wapi? Jomoneeeeh c ungenidadisi mie mwenyew mbna ningekusadia ktk zoezi lako? Ukute sasa huko kuna sehemu umekosea ktk utafiti wako lol.

Afu kumbe nawee ni mtoto wa Anangisye? Mie nilijua uko chini ya taasisi ya mstaafu mwinyi pale karibu na Jangwani girls sec, nliona unapost sana mambo ya ktk taasisi ile. Kumbe nawee upo hapa opposite na mawasiliano tower?

Hebu tukutane PM bhas jomoneeeh, huenda ukawa mwaka wanguu huu.

mahondaw suala la mavazi na sare za harusi sitaki uniangushe.
Depal wee ndo mpambe wangu,
Chakorii kamati ya mapokezi itakufaa sana.
Lizzy mwenyeji wangu kuhusu kamati ya chakula fanya namna hapa.
Jack Palladino suala la vinywaji naomba ziwe za bei nafuu,
Saint Anne cc yafaa kuwa MC?
Karma mommah kamati ya ulinzi ni yakona nakuaminia.
Heaven Sent naomba mafundisho ya imani, malezi na maisha. c unajua ndoa sio lelemama.
mawardat mlongo music tafuta babu kubwaah.
Mshana Jr babuuh nadhan ndo msimamizi mkuu.
Satoh Hirosh kamati ya tahadhari na dharura hutaniangusha.

Wewe kijana wa hovyoo jina lako ngumu, suala la ukumbi na hotel ya kufanyia honeymoon ni lako, sitaki uniangushe hapo.

Na wengineo woteeeeeeeeeh. stay tuned mambo mazuri yanakuja hapa.
Ulijuaje ninasifa na uzoefu katika kuwakarimu watu?hapo niko vizuri mno na Mara nyingine nikiamua kuutumia ulimi vizuri hachomoki mtu.

Siwezi kukuangusha kabisa kipenzi..hutojuta Kwa kunipa hilo jukumu.

Uende ukatulie sasa.

Hebu nikuulizee..umeogea maji gani umepata babe haraka namna hiyo…nipatie na mimi hayo maji tafwadhali
 
Mwambie una black belt
Hakujui huyu😀
Najua anayo

Na aliwahi post picha hiyo black belt hapa nikai save
17346960176_f9827107dd_z.jpg
 
Ulijuaje ninasifa na uzoefu katika kuwakarimu watu?hapo niko vizuri mno na Mara nyingine nikiamua kuutumia ulimi vizuri hachomoki mtu.

Siwezi kukuangusha kabisa kipenzi..hutojuta Kwa kunipa hilo jukumu.

Uende ukatulie sasa.

Hebu nikuulizee..umeogea maji gani umepata babe haraka namna hiyo…nipatie na mimi hayo maji tafwadhali
Nakujua ktk mambo ya ukaribisho uko vizuri,
Kutulia sasa hapo itategemea huyo mwenzangu anaishi na mie kwa kutumia akili au vipi

Kuhusu kupata babee haraka humu hata sijaoga maji yeyote ila bahati tyuuh kipendhii. Afu sio humu tyuuh hata uraiani utaskia "cocastic yaan yule fulan anasema anakupenda na kukubali sana" khaaah huwa nastaajabu afu unaluta huyo mtu hata sina mazoea nae hata.

Nimeshangaa watu wanafanya utafiti juu yangu afu mwenyewe hata sijui yaan lol
 
Back
Top Bottom