Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana! Akikusogelea karibu unafanya kama unatelezesha mkono! Ukiwa unaurudisha mkono ndio kama unashika kibahati mbaya, ukiona kimya hapo ndio unazungusha zungusha mkono kiunoni na kuuacha utalii kuzunguka!
😃😃😃😃 Legend kama legend 😀😀😀😀😀.. sasa kama hivi acha niingizie mzigo ku validate hii mbinu
 
Phd nitaipata tu.. kama nikiitaka.. Padre Henry anatisha sanaaa.. inabidi ufate nyayo zake
Hahaaa yule siyo mwanajeshi wa jwtz mbona mwenyewe alishafafanua hilo

Zile gwanda ni za South Sudan ambako alienda kuhudumu kiroho maporini huko ndipo akachukua mafunzo kadhaa ya kijeshi kwa muda mfupi

Ndiyo akapewa na zile gwanda na pia ana black belt kwenye karate hivyo anajua kupigana
 
Hahaaa yule siyo mwanajeshi wa jwtz mbona mwenyewe alishafafanua hilo

Zile gwanda ni za South Sudan ambako alienda kuhudumu kiroho maporini huko ndipo akachukua mafunzo kadhaa ya kijeshi kwa muda mfupi

Ndiyo akapewa na zile gwanda na pia ana black belt kwenye karate hivyo anajua kupigana
Hata mie nina black belt.. najua kupigana sana tu.. 😃😃😃
 
Feels good to see names of places za Tanzania yanatumika kwenye movie za mbelez. Yellowstone S04.
IMG_20220125_135951_7.jpg
 
Back
Top Bottom