Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Hapa mjapani alituliza Sana akili ,kwanini hupendi gari za dieselMnyama sana VX. Rsema diesel.. sijawai penda gari ya diesel toka dunia imeumbwaa
Hapa mjapani alituliza Sana akili ,kwanini hupendi gari za dieselMnyama sana VX. Rsema diesel.. sijawai penda gari ya diesel toka dunia imeumbwaa
ina Sauti ya MAMLAKAMchuma Bomba, sauti yake tamu

Diesel ni expensive kulinganisha na petrol.. pia napenda gari za petrol cheap to maintain.. pia zinachanganya faster ( perfomance ).Hapa mjapani alituliza Sana akili ,kwanini hupendi gari za diesel
Kabisa hizi za diesel ni pasua kichwa Ila Hawa jamaa wanakula kwa urefu wa Kamba zao ,, nipo na doto biteko wanaichambua kauli ya mamaDiesel ni expensive kulinganisha na petrol.. pia napenda gari za petrol cheap to maintain.. pia zinachanganya faster ( perfomance ).


😃😃😃😃 wanakula mema ya nchiii... wenye kamba fupi ni shidaaa tupuKabisa hizi za diesel ni pasua kichwa Ila Hawa jamaa wanakula kwa urefu wa Kamba zao ,, nipo na doto biteko wanaichambua kauli ya mama![]()
Itabidi asahivi nikae na image moja tu ya kipendwaa.. niachane na mambo ya kupelekeana moto ☺️☺️Nop usichokijua ni kwamba mimi nakuonaga uko decent sana na vile unavyopost habari za kupeleka moto sijui kupiga na kusepa ndiyo huwa naona hufananii kabisa![]()
Peleka Moto tu mkuu tukitoka mererani tunaenda mwanza Dem wako Antonia wa cask nimwambiajeItabidi asahivi nikae na image moja tu ya kipendwaa.. niachane na mambo ya kupelekeana moto![]()
Nakumbuka hujawahi kabisa kuniambia huwa sisahau kumbukumbu muhimu kama hizi,,,na ninavyopenda kupost hivi.. ila ya kwangu nilikwambia na unaikumbuka kwa sababu ipo sawa na ya dadayako.Nitakukumbusha ikifika ili usisahau tena![]()
nipo 255 lounge.karibu muda huuJack Palladino Leo havock ama elements
hahahahaNop usichokijua ni kwamba mimi nakuonaga uko decent sana na vile unavyopost habari za kupeleka moto sijui kupiga na kusepa ndiyo huwa naona hufananii kabisa![]()
Bado hatujafika daslamu boss tuko Moro by Sa 10 tutakua townnipo 255 lounge.karibu muda huu
Dgo ulizaliwa msimu wa maparachichi mengiNakumbuka hujawahi kabisa kuniambia huwa sisahau kumbukumbu muhimu kama hizi,,,na ninavyopenda kupost hici.. ila ya kwangu nilikwambia na unaikumbuka kwa sababu ipo sawa na ya dadayako.

hahahaha we peleka moto c wanajichanganya wenyewe? Peleka motoo mkuu,🙄🙄🙄🙄 ila binadamu wote wanapelekeama motoo au nasema uongooo 😳
Ukipita kujaza wese uniachie basi hela ya maparachichi.Dgo ulizaliwa msimu wa maparachichi mengi![]()
Hao uliowaelezeaMabinti wamejaa kibao mdogo wangu ukiwa nao itapendeza zaidi kuanzia kwenye age difference...hata tofauti za miili kati yako na wao zinamatch.. sasa kijana mdogo ukutane na kijeba ngozi ishajikunja maziwa yashalala tumbo lishashuka afu full michirizi kutokana na uzazi aaawwwwuu haikuji kabisa pia you won't enjoy! Kijana una Nguvu zako unatakiwa tubinti sio mizee mizima!!

Hilo limeishaaUkipita kujaza wese uniachie basi hela ya maparachichi.
Utamgongea meneja,utamuachiaHilo limeishaa