CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Wedding ni habari ingine,, mtoto wa kingoni take it slow,,, mud utafikaTobaaaaaaaaaaaaah wee, nimeishiwa nguvu kabisaa, sio kwa kitu kizito hiki ulichonipiga, uwiiiiiiih

Wedding ni habari ingine,, mtoto wa kingoni take it slow,,, mud utafikaTobaaaaaaaaaaaaah wee, nimeishiwa nguvu kabisaa, sio kwa kitu kizito hiki ulichonipiga, uwiiiiiiih

Nikuache na shemeji yetu eeh?Niwache tu aisee
Rafiki yake serpent akiwa na waziri wa mambo ya fedha
Mno kabisa shem dadaShemeji una balaa zitoooo
Umemuona lakini balaa lakeShemeji una balaa zitoooo
😎😎😎😎😎😎Hivi hakunaga jua kule?
Vijana kama akina 9.8ms squared unawapangia seat yenye jua kali.
Ananibania dadake kinoma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂basi kule kuzimu ntakua mwenyekiti wa ma bwana shamba
Kaka😍🤗🤗😎😎😎😎😎😎
🤣🤣🤣🤣🤣Wataninyoosha kinoma kumu expose bodyguard wangu na jina lake.
Ni mwanausalama huyu, huwa haturuhusiwi
Tatizo kibundaaa mkuu 😂😂😂Vijana wanafeli wapiii?View attachment 2095210View attachment 2095211
❤❤❤😘😘😘
Si unaona nasalimia mara 6 sita?Umemuona lakini balaa lake

Mno kabisa shem dada
Nimejikuta natupiana mpira tu na Mungu.
Yeye amenikabidhi huyo mrembo...mimi nikamrudishia.
Maana sasa kwa namna huyo mtoto amesimama namlinda vipi?
Wanajamvi mniombee
Natembea na bodyguard ati, hujaona?
Yaani shemeji yako akili zake zinamtosha mwenyewe