Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji120]
Screenshot_20220125-175742.jpg
 
Naomi namjua Ila Sina mazoea nae nitamuuliza,, aisee kwa bint ukishindwa kuchomoka na umesoma ni kujitakia tu..siku Ile nakwambia nipo na Antonia ndio huyo Dem anaitwa Sara alikua anatuhudumia Dem alikua Yuko vzr customer care ya uhakika jamaaa akamwachia tip laki mbili akampa pale pale email amtumie CV juzi juz tu Dem haamini kaambiwa akaripot job
Safi sana.. nguvu ya mwanamke 😊😊😊

Naomi si mzuri mzuri kajaa jaaa flani.. ana shape shape.. yeye hafanyi kazi pale ila kiwanja chake... Wengi wao pale wana degree pale.. 2019 nilikutana nao wengi sana na walikuwa moto kweli alafu wazuri sanaaa.. Kamba ndefu hiyo asee jumamosi nikiamka sijafa lazima jioni nisepe 😁😁😁
 
Safi sana.. nguvu ya mwanamke [emoji4][emoji4][emoji4]

Naomi si mzuri mzuri kajaa jaaa flani.. ana shape shape.. yeye hafanyi kazi pale ila kiwanja chake... Wengi wao pale wana degree pale.. 2019 nilikutana nao wengi sana na walikuwa moto kweli alafu wazuri sanaaa.. Kamba ndefu hiyo asee jumamosi nikiamka sijafa lazima jioni nisepe [emoji16][emoji16][emoji16]
Basi nikajua Naomi muhudumu pale yupo ana deal Sana na cocktails,,, poa Kaka shetani asipojiinua hapa katkat jmos will be there
 
Hebu niazime hicho kishep na kisura chako kizuri japo Kwa siku za wikend tu nikapata babe tuuu chapu nakurudishia.
Sura iwe ya upole kama mimi nilivyompole..ok.

Hakuna cha kutegemea hapo..naomba utulivu ndoani fulustop
Weuweeeeeeeeeh [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Imeisha hiyoooo.
 
Aaaalelelelelelelelelelelelele[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] kama kauwaaa ni kupendeza mwanzo mwishooooo! Sare kama tatu hivi jomoneeeeeeeee!! [emoji2956][emoji2956]
Teeeeeeenaaaaaaaah hapo kwenye mavazi nataka utishe zaidi yaan shos [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomi namjua Ila Sina mazoea nae nitamuuliza,, aisee kwa bint ukishindwa kuchomoka na umesoma ni kujitakia tu..siku Ile nakwambia nipo na Antonia ndio huyo Dem anaitwa Sara alikua anatuhudumia Dem alikua Yuko vzr customer care ya uhakika jamaaa akamwachia tip laki mbili akampa pale pale email amtumie CV juzi juz tu Dem haamini kaambiwa akaripot job
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya connection hayooo,
Wacha wee.
 
Safi sana.. nguvu ya mwanamke 😊😊😊

Naomi si mzuri mzuri kajaa jaaa flani.. ana shape shape.. yeye hafanyi kazi pale ila kiwanja chake... Wengi wao pale wana degree pale.. 2019 nilikutana nao wengi sana na walikuwa moto kweli alafu wazuri sanaaa.. Kamba ndefu hiyo asee jumamosi nikiamka sijafa lazima jioni nisepe 😁😁😁
Huyo Naomi alikuwa anaishi Dar!alikuwa na crown ya silver!
Kho kho
 
Back
Top Bottom