Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeeh ngoja niwaache mtu na shemeji yake
Zawadi yake ingine nimeificha moyoni....zimekua mbili.

Ila huu moyo utapasuka sasa 🤣🤣
......
Hiyo imekaa vizuri hasa ukitinga ile rangi ya mbogamboga 🤣
Kumbe?

Basi ndo maana pale Ileje njia panda walikua wanashangilia kwa nguvu...

Nikadhani shangwe lote lile ilikua kwa hili bodyguard langu lenye miraba minne?
photo_2021-03-08_18-44-13.jpg
 
Zawadi yake ingine nimeificha moyoni....zimekua mbili.

Ila huu moyo utapasuka sasa 🤣🤣
Kuna dalili zote utapasuka,maana na mimi si nimo humohumo moyoni na ndio nina nafasi kubwa,,,nasema uongo mtumishi?
Kumbe?

Basi ndo maana pale Ileje njia panda walikua wanashangilia kwa nguvu...

Nikadhani shangwe lote lile ilikua kwa hili bodyguard langu lenye miraba minne?
Chizi wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna dalili zote utapasuka,maana na mimi si nimo humohumo moyoni na ndio nina nafasi kubwa,,,nasema uongo mtumishi?
Halafu bado ipo zawadi ya Chakorii as well.

____________________

Wewe sasa hivi umeingia hadi kwenye mfumo wa damu.

Nilifanya blood donation juzi nikakutwa nna group Anne
Chizi wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ulikua mkutano wa kihistoria kweli....omeona hilo nyomi tulikusanya?

Ahsanteni watu wa Mbeya kwa ukarimu wenu
 
Halafu bado ipo zawadi ya Chakorii as well.

____________________

Wewe sasa hivi umeingia hadi kwenye mfumo wa damu.

Nilifanya blood donation juzi nikakutwa nna group Anne
Eeeeeh!!
Umeupiga mwingi hadi umepaa
Ulikua mkutano wa kihistoria kweli....omeona hilo nyomi tulikusanya?

Ahsanteni watu wa Mbeya kwa ukarimu wenu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siku ukiingia mikononi mwa kijani kibichi utasimulia
 
Igweeeee Igweeee Igweee

Shemeji nakusalimu kutwa mara 3

Umetishaaaaa, umetishaaaaa, umetisha sanaaaaa.
Kwakweli nahitaji pongezi. Kumiliki pisi kali......yet God-fearing, aisee it takes efforts.

Mtoto amsimamia ukucha utadhani anafanyaga squats for the past ten years
Shikamoo shemeji
Mahabaa marahabaa mkuu shemeji
 
Eeeeeh!!
Umeupiga mwingi hadi umepaa
Hakuna namna kama kukupenda ni dhambi.....basi kule kuzimu ntakua mwenyekiti wa ma bwana shamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siku ukiingia mikononi mwa kijani kibichi utasimulia
Wataninyoosha kinoma kumu expose bodyguard wangu na jina lake.

Ni mwanausalama huyu, huwa haturuhusiwi
 
Back
Top Bottom