Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Wee ni kesho kumbe eeeh? Mie nkajua n 29/01.
Awapi watakupeleka mputa mputa mpaka ukimbie na bukta yako mkononi 😜🤣🤣!😃😃😃😃 bado mwaka haujaisha waje mwakani majira kama haya watajutraaa

Thubutuuuu.. sema hainaga majaribio.. au pambano la kirafiki la sivyo ningeomba mechi ya kirafiki na wewe alafu refa angekuwa cocasticAwapi watakupeleka mputa mputa mpaka ukimbie na bukta yako mkononi 😜🤣🤣!
Chaaaa!!!🤣🤣🤣Sanaaa. Yaani mahari tunatoa sisi kama wahindi
Chaaaa!!!
Kweli umenichoka
Hawezi labda awe mchawi!!atatuachanisha
Hainaga majaribio hiyo ☺️☺️☺️.. laana hakunaga hata.. maneno tu ya vijiweni hayoWee mimi dada yako unapigaje mechi na dada!! Laana hizo !






😁😁😁😁 vipi mkuuu, nilifukuzwa tu
Pep unamsikia shemeji yako???Hapana, we can't afford to lose him, he is a rare gem. So wacha tu tutoe mahari wenyewe mambo yaende fasta
Hainaga majaribio hiyo ☺️☺️☺️.. laana hakunaga hata.. maneno tu ya vijiweni hayo
Basi hauna tofauti na yule Padre Henry Rimisho sema tu ni kwamba wewe siyo lecturer huna PhD na ulifukuzwa.. weee nitake radhi basii.. mie nimefanya kozi moja na SAS na nimefanya mission kadha wa kadhaaaa... kama huamini njoo unione na combat zangu.. sema tu nilifukuzwa
![]()


😄😄😄😄😄😄 kwaiyo vijana kwa vijana na wazee kwa wazeee asaleeeeee.... safiii kabisa, hii inapendeza wazeee kama zarithebosslady wapo... mzee ila mbichi kuliko binti 😃😃Mabinti wamejaa kibao mdogo wangu ukiwa nao itapendeza zaidi kuanzia kwenye age difference...hata tofauti za miili kati yako na wao zinamatch.. sasa kijana mdogo ukutane na kijeba ngozi ishajikunja maziwa yashalala tumbo lishashuka afu full michirizi kutokana na uzazi vaaawwwwuu haikuji kabisa pia you won't enjoy! Kijana una Nguvu zako unatakiwa tubinti sio mizee mizima!!