Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
😃😃😃 Phd nitaipata tu.. kama nikiitaka.. Padre Henry anatisha sanaaa.. inabidi ufate nyayo zakeBasi hauna tofauti na yule Padre Henry Rimisho sema tu ni kwamba wewe siyo lecturer huna PhD na ulifukuzwa![]()
🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭! Unatakiwa uinjoi bana especially ukikutana na ambavyo havijawa na mambo mengi😄😄😄😄😄😄 kwaiyo vijana kwa vijana na wazee kwa wazeee asaleeeeee.... safiii kabisa, hii inapendeza wazeee kama zarithebosslady wapo... mzee ila mbichi kuliko binti 😃😃
😒😒😒😒😒.. mmefika tayari kunipa laana nilikuwa natingisha tu kiberiti kumbe njiti hakunaHuyu mdogo wako kachanganyikiwa, wa kuwa mashemeji zake tupo then anakutaka mwenyewe!!
Mpe laana!!!
![]()
Huwa rahaa eeeh.. kumbe wacha nijaribu🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭! Unatakiwa uinjoi bana especially ukikutana na ambavyo havijawa na mambo mengi
Hapana hajanitaka mimi sema ameongelea majaribio ili Kuni prove wrong point yangu hahahaha!🤣🤣🤣!Huyu mdogo wako kachanganyikiwa, wa kuwa mashemeji zake tupo then anakutaka mwenyewe!!
Mpe laana!!!
![]()
Jamani mnaniharibia mdogo wangu.. hizi tabia kazitoa wapiii 😒😒😒😒
Chief unakosea wapi?.. mmefika tayari kunipa laana nilikuwa natingisha tu kiberiti kumbe njiti hakuna


















Siku hizi kuna majeshi mengiMbona jeshi la wokovu! Haha! ! Juzi kajifanya kutoka out kajichanganya huko weee kavamiwa na wanawake 6 alihahaje!
9.8ms squared


Nilifikiri atanataka kuziba gap la mashemeji zakeHapana hajanitaka mimi sema ameongelea majaribio ili Kuni prove wrong point yangu hahahaha!!















Jamani mnaniharibia mdogo wangu.. hizi tabia kazitoa wapiii![]()
😬😬😬😬 hii mbinu unaweza zabuliwa makofi ya kichwaaaChief unakosea wapi?
Siku hizi hatutingiahi viberiti, tunashika viuno kuona kama yaliyomo yamo!!
![]()
kwaiyo mnaamanisha namfundisha mie au 🙄🙄🙄Tukuulize wewe kaka yake, maana unakuwa naye mara nyingi
9.8ms squared njoo umsimulie kamanda yaliyokusibu juzi ukasingizia una UVIKO hahaSiku hizi kuna majeshi mengi
Teh wapi hiyo na ulikuwajekuwaje
Usiniambie na mbwembwe zote zile
🤣🤣🤣🤣🤣Nilifikiri atanataka kuziba gap la mashemeji zake![]()
Aahh sasa kamtu kenyewe hata mkononi hakajai halafu ndiyo wakapeleke kwenye ukomandoo si watakaua jamani na hivi kamegoma kunenepayaan nimecheka hapa mommah lol.


Hapana! Akikusogelea karibu unafanya kama unatelezesha mkono! Ukiwa unaurudisha mkono ndio kama unashika kibahati mbaya, ukiona kimya hapo ndio unazungusha zungusha mkono kiunoni na kuuacha utalii kuzunguka!hii mbinu unaweza zabuliwa makofi ya kichwaaa














