Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kilumumba
giphy.gif
Sema basi😂😂😂
 
Ewaa😍😍
😍😍😍😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍😘😘😘😘😘😘😘😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰
 
Na ku recomend Stefano Mtangoo kwenye project yako ile, alikuwa mwalimu wangu wa java, php kitu kama sikosei C++ pamoja na API.. sema ndio niliachana na hayo nikawa tapeli tuu wa mjinj. but on serious work mpe jamaa ana hofu ya Mungu, ana mpenda Mungu na ni muaminifu.. utafurahi kufanya nae project
We nae ni Mzee wa kazi nyingi sn ndy maana Una hela sn😅..mara Forex mara java script mara..

Huyo jamaa Mr Stefano Mtangoo anaonekana ni mtu poa hata Kwa mwandiko wake Tu.Kuna muda unakuta mtu anamtroll lkn yeye anarelax na kujibu vizuri sn.Pia maelezo yake ndy yamenipa mwanga zaidi..Nitamtafuta
 
We nae ni Mzee wa kazi nyingi sn ndy maana Una hela sn😅..mara Forex mara java script mara..

Huyo jamaa Mr Stefano Mtangoo anaonekana ni mtu poa hata Kwa mwandiko wake Tu.Kuna muda mtu unakuta mtu anamtroll lkn yeye anarelax na kujibu vizuri sn.Pia maelezo yake ndy yamenipa mwanga zaidi..Nitamtafuta
Ni mtu safi sana, nimepita mikononi mwake. Usichelewe atakusaidia kufika unapotaka, namfahamu. Mie mkuu sio tu huko hata Cyber security, IS, Networking, Electrical Power, Mechacala ( power plant), Forex, finance analyst etc nimo.. Dereva wa magari nimo pia nina cheti cha VIP udereva from NIT.. huduma zote kwangu zinapatikana mkuu 😁😁😁
 
Nimeshangaa naitwa kwenye uzi ambao hata siuelewei. Imebidi kusoma kama mara tatu hivi kuelewa kinachoendelea.
Nashukuru sana boss kwa recommendation. Nashindwa kukumbuka ni mwanafunzi yupi maana nimefundisha wengi kweli kweli.

Rudi kwenye code aisee! Hata kwa hobby 🙂
Mkuu huku huwezi kuondoka bila kuacha selfie😅
Huyu kijana 9.8ms squared hajakulazimisha uache selfie kweli?😅😅
 
Back
Top Bottom