Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni mtu safi sana, nimepita mikononi mwake. Usichelewe atakusaidia kufika unapotaka, namfahamu. Mie mkuu sio tu huko hata Cyber security nimo.. Dereva wa magari nimo pia.. huduma zote kwangu zinapatikana mkuu 😂😂😂
Hongera sn mkuu..huko vizuri mno

Kwa kweli kuhusu hii idea yangu inabidi nijipange sn maana project inahitaji more than 50 million ambayo Kwa sasa sina.Narudisha Kwanza mafaili kabatini wakati nawaza upya nn cha kufanya kukamilisha project
 
Hongera sn mkuu..huko vizuri mno

Kwa kweli kuhusu hii idea yangu inabidi nijipange sn maana project inahitaji more than 50 million ambayo Kwa sasa sina.Narudisha Kwanza mafaili kabatini wakati nawaza upya nn cha kufanya kukamilisha project
Mungu akufanyie wepesi kaka. Na Mirango ikafunguke na kila utalogusa kuanzia usiku huu likawe pesa.. mikono yako ivute pesa
 
Jamani nimetamani haya maombi ningekuwa nimeombewa mimi
Mbingu na zifungue dirisha la kufanikiwa, malaika wa uchumi na pesa wakaambatane na wewe, ardhi ikukubali kila ukanyagapo, ardhi itangaze taarifa njema kila mguu wako ukanyagapo, ardhi ikaongee yaliyo mema dhidi yako. Uchumia wako ukafunguke, na kila ufanyalo likawe ushudua.. Mungu akujalie nguvu zidi ya adui zako katika kila eneo la maisha yako.. Uvuli wa BWANA ukufunike aliyokupa yasipotee wala adui asikaribie.. wema wa Mungu ukufunike na nuru yake ikutangulie kila pande za nchi na dunia kuanzia sasa ikupokeee 😊😊
 
😍😍😍😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍😘😘😘😘😘😘😘😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰😍🥰🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰😘🥰
😘😘😘😘😘
Una seat yako special kule Mbinguni tukianza kuworship
 
FB_IMG_16427024592439479.jpg
 
Back
Top Bottom