Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Faller wewe...
Hiyo Baby umekula, it's lunch time kwenye mapenzi ni mambo ya msingi Babu..Ni huo umri unakufanya uone kero? Binafsi mimi napenda.. ni sehemu ya kujali pia..

Yote tisa... unaweza kujikuta kila saa unapigiwa video callNa wana ule uandishi wao wa text sasa, Na huo umri ki ukweli hutaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwangu nilimpiga marufuku kuandika vifupi mfano "kwmb" badala ya "kwamba" au 'x' badala ya 's' na akaelewa. Wana ujinga mwingi.
 
Screenshot_20220119-121653.jpg
 
Faller wewe...
Hiyo Baby umekula, it's lunch time kwenye mapenzi ni mambo ya msingi Babu..Ni huo umri unakufanya uone kero? Binafsi mimi napenda.. ni sehemu ya kujali pia..

Yote tisa... unaweza kujikuta kila saa unapigiwa video callNa wana ule uandishi wao wa text sasa, Na huo umri ki ukweli hutaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ule uandishi wao...hata siwaelewi hakyanani!

Labda ni huu uzee sielewi, umekula, "unafanyaje now" aaaagr shida tupu!!
 
Back
Top Bottom