Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
89 yenyewe nabisha,,Satoh bana, si useme tu ni mwaka 1989, eti late 80s. Kumbe bado kadogo![]()
Hatuwezi kuwa sawa na huyu dogo😁😁
89 yenyewe nabisha,,Satoh bana, si useme tu ni mwaka 1989, eti late 80s. Kumbe bado kadogo![]()
☺️☺️☺️ inawezekana kabisaa mama pastor na sio gharama, inahitaji tu chemistry.. leo acha nikaibe mtoto wa. mtu Chakorii tutoke kama hao.. tunaanza shoping pale woolworths.. tunatako hapo shwaaa haoooDadeki nimeiona kaka Anne.
Basi ukiona hivi, unatamaniaa hadi unajihisi wewe na baby ako mtapendeza hivihivi. Mjikute sasa wote mlichaguana kila kitu ni "personal" teh
Nyie kundi moja 90 +Samahani mkuu,umezaliwa miaka ya 80 au 90?
Uzuri shemeji yako hana vitu "personal"Dadeki nimeiona kaka Anne.
Basi ukiona hivi, unatamaniaa hadi unajihisi wewe na baby ako mtapendeza hivihivi. Mjikute sasa wote mlichaguana kila kitu ni "personal" teh
Sitakiiiiiii
Ndiyo nimekumbuka ile picha yake, kweli hakuna mtu wa 89 hapo; 95 kwenda juu89 yenyewe nabisha,,
Hatuwezi kuwa sawa na huyu dogo![]()
Kundi la 90 si ni lenu na huyo SH.Nyie kundi moja 90 +
Mimi ni wa kubembelezwa mwisho kweli🥲
Ni muda sasa wa mimi kumleta shemeji yenu..na shemeji yetu pep atakuwepo.


Ewaaaaaa, msisahau kuselfika. Na sisi ndiyo tunamalizia kujiandaa tutoke na Baba Mchungaji; picha inakujainawezekana kabisaa mama pastor na sio gharama, inahitaji tu chemistry.. leo acha nikaibe mtoto wa. mtu Chakorii tutoke kama hao.. tunaanza shoping pale woolworths.. tunatako hapo shwaaa haooo
Watoto wa elfu mbili haoNdiyo nimekumbuka ile picha yake, kweli hakuna mtu wa 89 hapo; 95 kwenda juu
Yule bwana pep?Uzuri shemeji yako hana vitu "personal"
Atakuwa ananing"arisha aisee,Mungu ni mwema sana.
Happy birthday kwako kijana mpole kuliko mimi, Mungu akupe umri na akutimizie kila hitaji la moyo wakoHappy birthday to me Satoh Hirosh
Baada ya bi mkubwa kunipa hii picha Jana,nikajifunza kuna umuhimu mkubwa sn Kwa a kuwa na archives Kwa ajili ya kumbukumbu za watoto wetu,Jana nilifurahi sn baada ya kuiona hii picha.. Imagine Leo Nina familia alafu naiona picha enzi nikiwa na miezi 5 Tu miaka hiyo late 80s
View attachment 2087630



Wewe no 89 au 99?89 yenyewe nabisha,,
Hatuwezi kuwa sawa na huyu dogo![]()
Ewaaaa safiii kabisaa.. ku selfika lazima.. tuwanyooosheee 😊😊😊Ewaaaaaa, msisahau kuselfika. Na sisi ndiyo tunamalizia kujiandaa tutoke na Baba Mchungaji; picha inakuja
Kama wewe upo la 80 basi mimi la 60Kundi la 90 si ni lenu na huyo SH.
Mimi nipo kwenye la 80.
89? Kumbe JF tunachat na wadogo zetu wa mwisho humu!89 yenyewe nabisha,,
Hatuwezi kuwa sawa na huyu dogo![]()
jamani jamani mbona unawivu kwa wifi yako 😔😔😔😔Mimi ni wa kubembelezwa mwisho kweli🥲
😂😂😂😂Kama wewe upo la 80 basi mimi la 60