Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dadeki nimeiona kaka Anne.

Basi ukiona hivi, unatamaniaa hadi unajihisi wewe na baby ako mtapendeza hivihivi. Mjikute sasa wote mlichaguana kila kitu ni "personal" teh
☺️☺️☺️ inawezekana kabisaa mama pastor na sio gharama, inahitaji tu chemistry.. leo acha nikaibe mtoto wa. mtu Chakorii tutoke kama hao.. tunaanza shoping pale woolworths.. tunatako hapo shwaaa haooo
 
Sitakiiiiiii
forgive-please.gif
 
Happy birthday to me Satoh Hirosh

Baada ya bi mkubwa kunipa hii picha Jana,nikajifunza kuna umuhimu mkubwa sn Kwa a kuwa na archives Kwa ajili ya kumbukumbu za watoto wetu,Jana nilifurahi sn baada ya kuiona hii picha.. Imagine Leo Nina familia alafu naiona picha enzi nikiwa na miezi 5 Tu miaka hiyo late 80s

View attachment 2087630
Happy birthday kwako kijana mpole kuliko mimi, Mungu akupe umri na akutimizie kila hitaji la moyo wako
 
Back
Top Bottom